Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Jeshi la Polisi linawashikilia watu 4 kwa tuhuma za mauji ya Mtumishi wa TRA Amani Simbayao kutoka tukio la Tegeta

Wanasema hawaongezi magereza kwa sababu ya watu wasiojitambua, tena wachache, taarifa ya mkuu wa magereza inasema wanaokaa rumande na waliofungwa wamepungua sana katika magereza yote nchini.

Halafu watu wa hovyo kama wewe hamko wengi
Huwa sipotezi muda wangu kwa machizi, endelea kuimba mapambio
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.

Fuatilia hapa kwa updates kwa yatakayojiri.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.

Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.

Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser


Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.

Fuatilia hapa kwa updates kwa yatakayojiri.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.

Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.

Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser

Kuna wengine wakiuawa huwa uchunguzi "unaendelea" mpaka picha linaisha ila leo wameguswa watu wao watuhumiwa wamedakwa chap.!
 
One of the biggest sign of collapse of any regime or government is a war on cops and distrust of law enforcement.

Maza akitoboa na kuvuka salama 2025 ntampa taji la dhahabu.​
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.

Fuatilia hapa kwa updates kwa yatakayojiri.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.

Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.

Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser

======

Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa wanne 1. Deogratius Paul Masawe miaka 49 kuli , mkazi wa Tegeta kwa ndevu 2. Idd Bakari miaka 30, kuli mkazi Tegeta kwa ndevu.3.Omar Issa miaka 47 ,myao, mpiga debe mkazi wa Tegeta Dawasco 4.Rashid Mtonga myao , miaka 29 kazi ya bodaboda , mkazi wa Bunju. Wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania aitwaye Amani Kamguna Simbayao pia kumjeruhi Adriano Fredrick wa TRA. Watuhumiwa hao na wengine ambao bado wanahojiwa kwa kina walikamatwa baada ya kuwashambulia maafisa hao wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao ya kisheria. waliliharibu pia gari namba STL 9923 aina Toyota Land Cruiser Hardtop nyeupe mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.


Tukio hilo lilitokea tarehe 05 Desemba, 2024 majira ya saa 03 :00 usiku Tegeta kwa Ndevu Kinondoni baada ya Maafisa hao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kukamata gari namba T 529 DHZ aina ya BMW rangi nyeupe lililodaiwa kuwa na makosa ya kikodi


Jeshi la Polisi Kanda maaalum ya Dar es Salaam linawaonya vikali na halitavumilia watu ambao wanataka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wakitekeleza majukumu yao licha ya kuwa wanakuwa wamefuata taratibu zote za kisheria.Jeshi halitasita kuchukua hatua kali za haraka na za kisheria dhidi ya wahusika kwa kuwafikisha kwenye mamlaka zingine za haki.

Imetolewa na;

Muliro J. Muliro -SACP

Kamanda Kanda Maalum ya Polisi

Dar es Salaam

grave mistake kumuua Simbayao halafu ukanyakwa, eti kwasabb ya mihemko yako binafsi tu na kupumbazwa na kufuata mikumbo ya mitandaoni, aiseee dah!

ni ngumu kuchomoka kwa mujibu wa sheria, na kwakweli ni muhimu sana kwa jamii nzima kujifunza, ili iwe fundisho kwa makaidi wengine wenye nia au mipango ovu kama hiyo

anapotea simba moja nyumbu 6wanateseka maisha yao yote korokoroni dah, inasikitisha sana na inafedhehesha sana aise 🐒
 
Kesi ya mauaji? Wamekwiiishaaaaa, minimum gerezani miaka 10 ya kukaa rumande, halafu wanaenda kukaa deathrow, kwa kuwa ulimshambulia Afisa wa serikali, kupata msamaha wa Rais ni ndoto, basi angalau zingekuwa za Mzee Alinacha, zao Zita kuwa ndoto za marehemu(kwa kuwa huwa hawaoti).

Wanaowahamasisha wako JF wanaweka vibando vyao vya 500 wawaingize chaka wengine, akili za kuambiwaaa
Kesi za mauji bwana za ajabu,siku ya hukumu ya kesi za mauji wanaweza wakapelekwa mahakama kuu watuhumiwa kumi wa mauji tofauti tofauti, ukakuta wote wakaachiwa huru,


Kesi za mauaji inataka ushaidi wa kuona usio na shaka,
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.

Fuatilia hapa kwa updates kwa yatakayojiri.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.

Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.

Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser

======
View attachment 3171256
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa wanne 1. Deogratius Paul Masawe miaka 49 kuli , mkazi wa Tegeta kwa ndevu 2. Idd Bakari miaka 30, kuli mkazi Tegeta kwa ndevu.3.Omar Issa miaka 47 ,myao, mpiga debe mkazi wa Tegeta Dawasco 4.Rashid Mtonga myao , miaka 29 kazi ya bodaboda , mkazi wa Bunju. Wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania aitwaye Amani Kamguna Simbayao pia kumjeruhi Adriano Fredrick wa TRA. Watuhumiwa hao na wengine ambao bado wanahojiwa kwa kina walikamatwa baada ya kuwashambulia maafisa hao wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao ya kisheria. waliliharibu pia gari namba STL 9923 aina Toyota Land Cruiser Hardtop nyeupe mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.


Tukio hilo lilitokea tarehe 05 Desemba, 2024 majira ya saa 03 :00 usiku Tegeta kwa Ndevu Kinondoni baada ya Maafisa hao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kukamata gari namba T 529 DHZ aina ya BMW rangi nyeupe lililodaiwa kuwa na makosa ya kikodi


Jeshi la Polisi Kanda maaalum ya Dar es Salaam linawaonya vikali na halitavumilia watu ambao wanataka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wakitekeleza majukumu yao licha ya kuwa wanakuwa wamefuata taratibu zote za kisheria.Jeshi halitasita kuchukua hatua kali za haraka na za kisheria dhidi ya wahusika kwa kuwafikisha kwenye mamlaka zingine za haki.

Imetolewa na;

Muliro J. Muliro -SACP

Kamanda Kanda Maalum ya Polisi

Dar es Salaam

Nilifikiri wote wangekuwa wachagga angalau kati ya 4 nimepatia 1. I am 25% correct!
 
Kesi ya mauaji? Wamekwiiishaaaaa, minimum gerezani miaka 10 ya kukaa rumande, halafu wanaenda kukaa deathrow, kwa kuwa ulimshambulia Afisa wa serikali, kupata msamaha wa Rais ni ndoto, basi angalau zingekuwa za Mzee Alinacha, zao Zita kuwa ndoto za marehemu(kwa kuwa huwa hawaoti).

Wanaowahamasisha wako JF wanaweka vibando vyao vya 500 wawaingize chaka wengine, akili za kuambiwaaa
Wauaji wenyewe sasa, wako mahali salama wanakunywa kahawa na kufuatilia taratibu drama za polisi wanavyowaminya bangusilo kuwafurahisha wenye jumba na nyie machawa wao.

Mambo ni tick, tock, tick, tock … (sio Tic Toc) hadi jumba lote liporomoke mithili ya Haiti au Jamhuri ya Afrika ya Kati.
 
Waliomteka Soka ni polisi wenyewe, waliokuwa wanataka kumteka Tarimo ni polisi wenyewe, yule wakili wa juzi ni polisi wenyewe, Sativa ni polisi wenyewe, Mlay, Dionizi n.k ni mapolisi ndio wahusika.

Nani atawatia mbaroni hawa wauaji na watekaji?
 
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.

Fuatilia hapa kwa updates kwa yatakayojiri.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.

Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.

Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser

======
View attachment 3171256
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa wanne 1. Deogratius Paul Masawe miaka 49 kuli , mkazi wa Tegeta kwa ndevu 2. Idd Bakari miaka 30, kuli mkazi Tegeta kwa ndevu.3.Omar Issa miaka 47 ,myao, mpiga debe mkazi wa Tegeta Dawasco 4.Rashid Mtonga myao , miaka 29 kazi ya bodaboda , mkazi wa Bunju. Wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania aitwaye Amani Kamguna Simbayao pia kumjeruhi Adriano Fredrick wa TRA. Watuhumiwa hao na wengine ambao bado wanahojiwa kwa kina walikamatwa baada ya kuwashambulia maafisa hao wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao ya kisheria. waliliharibu pia gari namba STL 9923 aina Toyota Land Cruiser Hardtop nyeupe mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.


Tukio hilo lilitokea tarehe 05 Desemba, 2024 majira ya saa 03 :00 usiku Tegeta kwa Ndevu Kinondoni baada ya Maafisa hao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kukamata gari namba T 529 DHZ aina ya BMW rangi nyeupe lililodaiwa kuwa na makosa ya kikodi


Jeshi la Polisi Kanda maaalum ya Dar es Salaam linawaonya vikali na halitavumilia watu ambao wanataka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wakitekeleza majukumu yao licha ya kuwa wanakuwa wamefuata taratibu zote za kisheria.Jeshi halitasita kuchukua hatua kali za haraka na za kisheria dhidi ya wahusika kwa kuwafikisha kwenye mamlaka zingine za haki.

Imetolewa na;

Muliro J. Muliro -SACP

Kamanda Kanda Maalum ya Polisi

Dar es Salaam


Je, Watu hao kweli walikuwa Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne Muliro anazungumza na Vyombo vya Habari.

Fuatilia hapa kwa updates kwa yatakayojiri.


Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaaam linawashikilia wanaotuhumiwa wanne, Deogratius Paul Massawe (40), Bakari Idd Bakari (30), wote ni kuli wa Tegeta kwa Ndevu, Omary Issa mpigadebe wa Tegeta DAWASCO na Rashid Mtonga (29) kazi yake ni Bodaboda kwa mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Amani Simbayao.

Watuhumiwa hao, pamoja na wengine ambao bado wanashikiliwa kwa tuhuma hizo, wanahojiwa kwa kina, ikiwa ni pamoja na kumjeruhi mtumishi mwingine aliyefahamika kwa jina la Adriano Fredrick.

Watuhumiwa hawa ambao bado wanashikiliwa na Wanahojiwa kwa kina wakati wanawashambulia maafisa hao waliharibu pia gari la Serikali la TRA, gari namba STL 9922 aina ya Toyota Land Cruiser

======
View attachment 3171256
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watuhumiwa wanne 1. Deogratius Paul Masawe miaka 49 kuli , mkazi wa Tegeta kwa ndevu 2. Idd Bakari miaka 30, kuli mkazi Tegeta kwa ndevu.3.Omar Issa miaka 47 ,myao, mpiga debe mkazi wa Tegeta Dawasco 4.Rashid Mtonga myao , miaka 29 kazi ya bodaboda , mkazi wa Bunju. Wanatuhumiwa kufanya mauaji ya mtumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania aitwaye Amani Kamguna Simbayao pia kumjeruhi Adriano Fredrick wa TRA. Watuhumiwa hao na wengine ambao bado wanahojiwa kwa kina walikamatwa baada ya kuwashambulia maafisa hao wa TRA wakati wakitekeleza majukumu yao ya kisheria. waliliharibu pia gari namba STL 9923 aina Toyota Land Cruiser Hardtop nyeupe mali ya Mamlaka ya Mapato Tanzania.


Tukio hilo lilitokea tarehe 05 Desemba, 2024 majira ya saa 03 :00 usiku Tegeta kwa Ndevu Kinondoni baada ya Maafisa hao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania kukamata gari namba T 529 DHZ aina ya BMW rangi nyeupe lililodaiwa kuwa na makosa ya kikodi


Jeshi la Polisi Kanda maaalum ya Dar es Salaam linawaonya vikali na halitavumilia watu ambao wanataka kujenga tabia ya kuwashambulia watumishi wa Serikali wakati wakitekeleza majukumu yao licha ya kuwa wanakuwa wamefuata taratibu zote za kisheria.Jeshi halitasita kuchukua hatua kali za haraka na za kisheria dhidi ya wahusika kwa kuwafikisha kwenye mamlaka zingine za haki.

Imetolewa na;

Muliro J. Muliro -SACP

Kamanda Kanda Maalum ya Polisi

Dar es Salaam

Je, Watu hao kweli walikuwa Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction?

They reap what they sow!

Walipaswa kusoma alama za nyakati!
 
Back
Top Bottom