Tetesi: Jeshi la Polisi Tanzania linawashikilia Maafisa wa Usalama kutoka Kenya

Sio lazima uchangie, wewe soma post za wenzio utaelimika!!
Kwa elimu yako unayotoa kwa watu bora niende ngumbaru,kama wewe unajua na unaelimu jibu kwa maelezo.Mtu mjinga hukimbilia lawama na kejeli anapoulizwa swali ambalo kwa uhakika kabisa hana majibu yake.Ukiona mwalimu ameulizwa swali na mwanafunzi badala ya kujibu anakuwa mkali huyo ana vyeti feki.Nimeuliza je ukiwa na passport na ni usalama huruhusiwi kwenda nchi nyingine?utajulikanaje upo holiday au kazini katika ulimwengu huu wa sasa wa mitandao?Jibu swali usipayuke kama watu wa mataifa.
 
Nakubaliana na wewe 100%
 
Umenijibu vizuri mkuu.Haya ndiyo maelezo ninayotaka,unadhani kwa usalama wa taifa kama anamfuatilia mtu kama raila je hatakuwa na passport nyingine ya pili na ya tatu ya kawaida kucover up vitu kama hivyo vya movement order ili atimize haja zake za kiusalama?
 
Kwani hao deep covers agents toka ndani ya balozi huwa wanagundulika sometimes ndio maana hata nchi inaweza kumtimua afisa wa ubalozi, balozi mwenyewe au hata kuufunga ubalozi endapo Itabainika unajihusisha na shughuri za kajasusi.
CIA walitumia njia hizi kummaliza kwake Nkhuruma. Walipeleka watu kama mwambata wa jeshibkumbe walikua cia. Kazi yao kubwa ilikua kujifanya wanadiplomasia huku waki warubani baadhi ya viongozi katika serikali ya kwame. Kwame kustuka ilikua too late ikabidi akimbilie misri
 
Ujasusi siyo Interpol!
Duh taasis za kijasusi kushitikiana huyu jamaa anakijua anchokisema? Kasahau ya Snowden alipofichua mambo marekani na ujerumani walibidi wayamalize sababu CIA ilikua ina m wiretap Angela wa Ujerumani
 
Hujui kuwa taasisi za Kijasusi za nchi moja na nyingine, huweza kushirikiana katika baadhi ya mambo?
Usichanganye polisi na ujasusi. Wewe unazungumzia FBI Scotland yard MI5 hapa tunazungumzia CIA KGB MOUSAd na TISS
 
Ngoja wenyewe waje watoe majibu tujifunze zaidi na ingependeza zaidi
 
Hivi yule aliejifanya anauza madawa ya kienyeji anajifanya Mpare aliesomea Kenya,kazi yake ilikua vijiwe vya kawaha na vijiwe vya siasa Mnazi mmoja na pale chuo cha utumishi wa Umma barabara ya bibi titi mbona simuoni siku hizi?
 
It is OK but at owners risk .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…