Magezi bugaga
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 1,181
- 1,594
TeheeeeeeeChangia BIBIE, Umeona nimeandika kitu kwa hiyo post?
View attachment 3155616
2024
Zetu tutampa Niffer asimamie nao ziwafikie walengwa au zidaidie anapoona panafaa kutuwakilisha.
View attachment 3155617
2023
Typical Tanzanian.... Yaani hapo huelewi huambiwi na husikilizi.Punguza wivu mbona ombaomba wanawachangisha kila siku mjini na mmechomekea midomo
We hujui wewe. Tulia kama maji ya mtungi.Ukichukulia hivyo money laundering basi yeye hausiki manake yeye anachangisha.
Na money laundeing haipo hivyo inatumika mtu anapojifahidisha .
Sasa mtu anakusanya fedha kwa ajili ya kuwapelekea wahanga utasemaje amejinifahisha amefanya money laundring .
Kama ni hivyo basi makanisa na misikiti viongizi wao nao wakamatwe kwani wanapokea fedha /sadaka hata za wauza unga .
Money laundring doesnot apply in this issue
Acha wivu ukizeeka utakua mchawiTypical Tanzanian.... Yaani hapo huelewi huambiwi na husikilizi.
Wivu wa Nini???? Iko timamu kweli????
Unajua Sheria inayohusiana na maafa na inavyosema???? Au unakutupuka..........
Waziri mkuu umemsikiliza????Umemuelewa???? Hili ni janga la Taifa sio la ukoo wenu. Likitokea huko kwenye ukoo wenu Tumieni Sheria za ukoo ila kwa hili hapana....
Kamati ya maafa ipo na idara zake na mfuko wake. Kuchanga Tena kwanini. .
Sampuli yenu ndio akija Mr vanilla ambaye ndiye manguruwe mpo, Mr kuku mpo, forex mpo,... Yaani mnapigwa kila upande.
Sasa Mimi nimuonee wivu mtu anayetumia utupu wake kunyanyuka??????
Na pia sio lazima wote tuwaze kitu kimoja... Mimi ninakataa we kubali kisha pita hivi....
Fanyeni kazi yenu.... Mkimaliza pokeeni per day mtulieAcha wivu ukizeeka utakua mchawi
Why namba ya kuchangia......!! V8 mpya maafa msaada💔Mkitapeliw kama alivyofanya manguruwe mnapiga kelele
hiyo ni kazi ya serikali na kuna mfuko wa maafa na kitengo kipo chini ya waziri mkuu
Thats money laundering
Akiweka wakili,kesi inaisha mapeeemaaa....!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama unahisi Kuna jeshi pole sana kile ni kikundi Cha wahuni waliojificha kwenye kichaka Cha uniform.
Wee mlongo Niffer alipata div 1.7 shule gani alisoma?Riziki mwanzo wa chuki dear
Niffah ameonesha uwezo mkubwa wa beuty with brain ile division 1.7 yake ya halali,anajipambania mnoo
Hata kama anadanga ila anadanga kwa akili hawa wengine wameshtuka uzeeni ndo maana wanamchukia mnoo niffer amechelewa kuja mjini ila kawazidi parefuuu kiujanja
Wewe inaonekana ni taahira, hivi mtu akutwe amebeba mali isiyo yake anatembea nayo bila ruhusa ya wahusika (kamati ya maafa) halafu useme alikuwa anawapeleka wala alikuwa haibi, si kila mtu atakuwa mwizi, akikamatwa anasema nilikuwa na kushikia tu?Acha umbumbumbu wako huyo binti hana makosa hayo fedha aliyochangisha unakuta anayo na hajaitumia ukute alikuwa anafanya utaratibu wa kuwafikishia wahusika. Utasemaje amefanya utapeli?
Kuhusu utakatishaji fedha , nahisi hujuhi hata maana na dhima ya neno utakatishaji fedha.
Ndio viherehere wengine haoWe unaambiwa PM katoa maagizo unaleta mambo ya wakili.
Mzee Maja angetumia busara tu yaan kuna vitu vingine, hapo ni sawa na Baba mwanae kachukua mswaki wake chumbani mmoja akamsanua akaagiza beki 3 popote utapomuona Jeni mkate hivi Anord Swazniga kwenye ile movie mboni alikua anampenda sana Jeni?Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?
Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?
Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo
Binti huyo hana makosa wamuache tuendelee kumpa michongo yetu mboni Steve Mengele hua hawamkamati kila akichangisha michongo kwenye maafa ya vifo vya wale? Huyu yeye wafanyabishara wenzake anakusanya michongo mboni wanamkata? Hivi Mzee Maja alituliza ubongo kabla auWatu naona wamekasilika sana hizo ni dalili za masikini , ila sio mtz wa kwanza kutenda kosa kuna waliohusishwa hadi na mauaji today wako wanapeta mjini hivyo ngoja muone na kwake pia
Watu wameanza kupiga kwenye MishonoChangia BIBIE, Umeona nimeandika kitu kwa hiyo post?
View attachment 3155616
2024
Zetu tutampa Niffer asimamie nao ziwafikie walengwa au zidaidie anapoona panafaa kutuwakilisha.
View attachment 3155617
2023
Babu sio busara nini wewe mtaani huku mtu akifa tunatembeza daftari nyumba hadi nyumba mwenye 50,100,200,500 mpaka 1000 tunajichanga msiba usitudodee mkuu sasa hapo ni katika kuendeleza desturi wewe wa wapi mkuu? Sawa Serikali imesema itagharamia kila kitu ila kabla haikusema kua itagharamia kila na huyo binti alishaanza process za kukusanya rambirambi za walikwisha kufa na wengine waliopata majeruhi nyie kwenu hamkusanyi rambirambi kwenye kidaftari? Hujawahi kutembeza kidaftari wakati wa msiba?Kwenye maafa kama haya siyo busara watu wachangishe bila kibali maalum. Huyu kwanza anaonyesha ni mjanja janja na anaweza kupiga hiyo michango.