zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Wabongo nuksi sanaPunguza wivu mbona ombaomba wanawachangisha kila siku mjini na mmechomekea midomo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo nuksi sanaPunguza wivu mbona ombaomba wanawachangisha kila siku mjini na mmechomekea midomo
Aisee nilivyosikia Waziri mkuu anataja Nifa nikajua ni weweViherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Tumekubaliana wana jamvi hatutaki kupelekana katika hizi ishu..... Hausikiii uyu arifuHii ni money laundering je ni huyu huyu Nifah wa huku jamvini au ni mwingine?
Ugomvi wa nifer na resty uliib kisa recho temuNilishaona video moja Resty yupo na huyo Niffer wakimnanga gigy nikajua ni marafiki. Leo tena washabadilikiana 🙄
Nilishaona video moja Resty yupo na huyo Niffer wakimnanga Gigy nikajua ni marafiki. Leo tena washabadilikiana 🙄
Recho ni nani yake Niffer?Ugomvi wa nifer na resty uliib kisa recho temu
Nifer alikua modo wa resty kwenye bidhaa zake ,siku ya kulonchi bidhaa ka sikosei recho akampiga biti nifah asithubutu kumtangazia resty bidhaa zake akifanya tu anamuharibia na kumchafua mambo yake yote hadharani ndo nifah akashindwa msapoti resty akaogopa kuharibiwa jina ndo since then hawapatani
Nifah ni km wolper enzi anaingia mjini alipigwa vita mnooo mpk kukaa sawa brooIla Resty nimemfahamu via insta na business zake nyingi tuu plus kula Bata mbona sikuona wakimpga vita Ila kwa dogo Niffer anapitia mengi kwa huyo bi. Dada
Kubwa jinga mnooKabisa..
Niffer anawaumiza akili sana..
Kama Resty ndiyo atawehuka sababu yake..
Akifikiria Niffer amemkuta kwenya Biashara na anafanya makubwa zaidi yake ndiyo anazidi kuchanganyikiwa na kuwa kubwa jinga
Hawana hata uhusiano enzi zile recho alikua ana bifu na resty kila siku alikua anambully na kumtukana hvyo akaona amuumize rest kupitia nifah asitangaze bidhaa zakeRecho ni nani yake Niffer?
Watoto wamjini hao wana mambo meusi sanaaa....!!!Kabla sijafika dukani kwake nilikuwa nahisi ana bonge la fremu kama Wedding Lydia ila nikakuta kachumba size ya choo cha uswahilini😂😂😂 ndio Resty Cosmetics.
Niliondoka na maswali mengi sana
hapa kanikwazaNamkubali sana huyo Resty Ila Kuna sehemu anazingua kinoma hasa kumuandama huyo mtoto
Hata akitoka kulala kwenye nondo mwanangu siyo poaHaina haja ya wakili, Tako lake linatosha kumtoa. Akina Mange si wanasema ni Chakula ya wakubwa 🤣 atasumbuliwa kidogo kisha atatoka.
Punguza wivu na roho mbaya pumbafuuViherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Aache ligi na watoto Ila mwisho wa yote wote naona wanataka kuwa wa mujini..... All the best kwao!Mimi
hapa kanikwaza
Roho mbaya, wadada sijui tuna shida ganiHawana hata uhusiano enzi zile recho alikua ana bifu na resty kila siku alikua anambully na kumtukana hvyo akaona amuumize rest kupitia nifah asitangaze bidhaa zake
Very soon utasikia Mama kaamua kumsamehe niffer na diva. Ili kupata KIKI ya nguvu kisiasaHata akitoka kulala kwenye nondo mwanangu siyo poa
😂😂Very soon utasikia Mama kaamua kumsamehe niffer na diva. Ili kupata KIKI ya nguvu kisiasa
Atoboi apo yani itumike busara tu ila apo atoboiView attachment 3155709
Inawezekana akashindwa kwasababu sheria ya maafa ipo clear kabisa
Hayo ni maafa yana procija zakeBabu sio busara nini wewe mtaani huku mtu akifa tunatembeza daftari nyumba hadi nyumba mwenye 50,100,200,500 mpaka 1000 tunajichanga msiba usitudodee mkuu sasa hapo ni katika kuendeleza desturi wewe wa wapi mkuu? Sawa Serikali imesema itagharamia kila kitu ila kabla haikusema kua itagharamia kila na huyo binti alishaanza process za kukusanya rambirambi za walikwisha kufa na wengine waliopata majeruhi nyie kwenu hamkusanyi rambirambi kwenye kidaftari? Hujawahi kutembeza kidaftari wakati wa msiba?