Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.

Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?

Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Aisee nilivyosikia Waziri mkuu anataja Nifa nikajua ni wewe
 
Nilishaona video moja Resty yupo na huyo Niffer wakimnanga gigy nikajua ni marafiki. Leo tena washabadilikiana 🙄
Ugomvi wa nifer na resty uliib kisa recho temu
Nifer alikua modo wa resty kwenye bidhaa zake ,siku ya kulonchi bidhaa ka sikosei recho akampiga biti nifah asithubutu kumtangazia resty bidhaa zake akifanya tu anamuharibia na kumchafua mambo yake yote hadharani ndo nifah akashindwa msapoti resty akaogopa kuharibiwa jina ndo since then hawapatani
Nilishaona video moja Resty yupo na huyo Niffer wakimnanga Gigy nikajua ni marafiki. Leo tena washabadilikiana 🙄
 
Ugomvi wa nifer na resty uliib kisa recho temu
Nifer alikua modo wa resty kwenye bidhaa zake ,siku ya kulonchi bidhaa ka sikosei recho akampiga biti nifah asithubutu kumtangazia resty bidhaa zake akifanya tu anamuharibia na kumchafua mambo yake yote hadharani ndo nifah akashindwa msapoti resty akaogopa kuharibiwa jina ndo since then hawapatani
Recho ni nani yake Niffer?
 
Ila Resty nimemfahamu via insta na business zake nyingi tuu plus kula Bata mbona sikuona wakimpga vita Ila kwa dogo Niffer anapitia mengi kwa huyo bi. Dada
Nifah ni km wolper enzi anaingia mjini alipigwa vita mnooo mpk kukaa sawa broo
Mji una wenyewe huu
Msemo wa uko mjini na xmass ngapi aliambiagwa wolper enzi hizo ktk kipindi cha take one,
"Hana hata Xmas tatu mjini"nimenikyy
Hvyo ajipange tu bidada mpk wa mjini wamkubali kwenye circle yao
 
Kabisa..
Niffer anawaumiza akili sana..
Kama Resty ndiyo atawehuka sababu yake..

Akifikiria Niffer amemkuta kwenya Biashara na anafanya makubwa zaidi yake ndiyo anazidi kuchanganyikiwa na kuwa kubwa jinga
Kubwa jinga mnoo
Bado chembechembe za ngada zipo akili kwake
 
Recho ni nani yake Niffer?
Hawana hata uhusiano enzi zile recho alikua ana bifu na resty kila siku alikua anambully na kumtukana hvyo akaona amuumize rest kupitia nifah asitangaze bidhaa zake
 
Kabla sijafika dukani kwake nilikuwa nahisi ana bonge la fremu kama Wedding Lydia ila nikakuta kachumba size ya choo cha uswahilini😂😂😂 ndio Resty Cosmetics.

Niliondoka na maswali mengi sana
Watoto wamjini hao wana mambo meusi sanaaa....!!!
Kuna watu badala ya kuwaonea wivu tunapaswa kuwaonea huruma
 
Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.

Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?

Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Punguza wivu na roho mbaya pumbafuu
 
Hawana hata uhusiano enzi zile recho alikua ana bifu na resty kila siku alikua anambully na kumtukana hvyo akaona amuumize rest kupitia nifah asitangaze bidhaa zake
Roho mbaya, wadada sijui tuna shida gani
 
Babu sio busara nini wewe mtaani huku mtu akifa tunatembeza daftari nyumba hadi nyumba mwenye 50,100,200,500 mpaka 1000 tunajichanga msiba usitudodee mkuu sasa hapo ni katika kuendeleza desturi wewe wa wapi mkuu? Sawa Serikali imesema itagharamia kila kitu ila kabla haikusema kua itagharamia kila na huyo binti alishaanza process za kukusanya rambirambi za walikwisha kufa na wengine waliopata majeruhi nyie kwenu hamkusanyi rambirambi kwenye kidaftari? Hujawahi kutembeza kidaftari wakati wa msiba?
Hayo ni maafa yana procija zake
 
KAMA MNA UPENDO WA KWELI
MNA WATU
MNA NYOTA YA MICHANGO

NENDEN EATV SAIDIAN ENI MCHANGISHE PESA ZA PED ZA WANAFUNZI

HUKU MLIKOINGIA CHOO CHA KIUME YAAN ALIEWATUMA MITOKA MKATOE SADAKA MAKANISAN AMA MISIKITIN

OBRIGADO
 
Back
Top Bottom