Inasikitisha sanaTaifa tumefika hapa kweli! Tunawafundisha nini watoto wetu kwakweli?
Nifah ni nani kwenye taifa hili, amefanya nini ambacho kinatutambulisha kama taifa kiasi cha kawafanya vijana watamani kufika alipofika huyo mtu, kaandika kitabu gani ambacho vizazi vijavyo vitajifunza kupitia nacho!
CCM laana hii mtaibeba nyie na vizazi vyenu! Nilikuwa sijuhi kwanini kuanzia huku ngazi za chini Hadi taifa watu wenye weredi, wabunifu, wenye maono huwa hawapewi nafasi na huwa hawapedwi!
Nilishaona video moja Resty yupo na huyo Niffer wakimnanga Gigy nikajua ni marafiki. Leo tena washabadilikiana 🙄Kwa hiyo kauli ya PM Resty atakuwa amefurahi sana...
Basi nilijua ni wewe.Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Kabisa..Riziki mwanzo wa chuki dear
Niffah ameonesha uwezo mkubwa wa beuty with brain ile division 1.7 yake ya halali,anajipambania mnoo
Hata kama anadanga ila anadanga kwa akili hawa wengine wameshtuka uzeeni ndo maana wanamchukia mnoo niffer amechelewa kuja mjini ila kawazidi parefuuu kiujanja
Walipishana siku nyingi...Nilishaona video moja Resty yupo na huyo Niffer wakimnanga gigy nikajua ni marafiki. Leo tena washabadilikiana 🙄
Walipishana siku nyingi...
Resty chuki yake ni kwanini Niffer anafanya biashara kama anayofanya yeye..
Kwani PM yupo juu ya muhimili wa mahakama?We unaambiwa PM katoa maagizo unaleta mambo ya wakili.
Hao viongozi wa serikali wenyewe wanataka ulaji vilevile wao na huyo Niffer wako njia mojaKisheria ni money laundering sema watanzania tuna ubinaadamu anaweza kuonywa akaachiwa,ila wakimkomalia no haina dhamana ,atulize kiherehere kwenye mambo ya kitaifa
Mimi ninavyojua msiba hauna mwaliko. Wanasiasa wanataka kuteka tukio la kkoo ili waonekana wao peke yao ndio msaada. Wanasiasa watu wa ajabu sana. Yaani hakuna kitu wanasiasa wanapata hofu kama kuona (hata kama sio kweli) mtu mwingine nje ya circle yao anapata sifa zaidi yao.Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.
Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.
Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali
Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Niffer ameshapatikana.
Hebu nisaidie,hivi Resty kale kaduna kake ka vipodozi ndio kanampaga maisha yotee au ana uwekezaji mwingine ukiachana na ule wa samaki Thomas uliokufa?Resti inabidi achunguzwe na TRA wanauza bila kutoa risiti 😂😂😂
Na kodi halipi za mauzo yake.
Ila wivu wa resti mbaya sana
Kama Serikali inayojitapa kuhusika kwenye majanga ingejipanga tangu mwanzo kuwa na kitengo cha maafa chenye kila miundombinu na rasilimali fedha kwa maana ya bajeti kiasi hicho, siku ileile asubuhi tungeona jinsi kazi ya uokozi inavyofanyika kwa ufanisi.Pm ana jaribu kufanya spining. Yeye ni kiongozi wa waokoaji. Ajikite kwenye kuokoa maisha ya watu hayo mambo ya michango waachiwe polisi! Kwani yanaibiwa mabilion mangapi huko serikalini? Mbona hawahamaki na kuchukia hatua????
Mume ni MC Cuzo ndiyo inawaweka mjini😀Hebu nisaidie,hivi Resty kale kaduna kake ka vipodozi ndio kanampaga maisha yotee au ana uwekezaji mwingine ukiachana na ule wa samaki Thomas uliokufa?
Protocols nifah ndio tatizo..Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?