Jeshi la Polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Taifa tumefika hapa kweli! Tunawafundisha nini watoto wetu kwakweli?

Nifah ni nani kwenye taifa hili, amefanya nini ambacho kinatutambulisha kama taifa kiasi cha kawafanya vijana watamani kufika alipofika huyo mtu, kaandika kitabu gani ambacho vizazi vijavyo vitajifunza kupitia nacho!

CCM laana hii mtaibeba nyie na vizazi vyenu! Nilikuwa sijuhi kwanini kuanzia huku ngazi za chini Hadi taifa watu wenye weredi, wabunifu, wenye maono huwa hawapewi nafasi na huwa hawapedwi!
Inasikitisha sana
 
Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.

Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?

Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Basi nilijua ni wewe.
 
Riziki mwanzo wa chuki dear
Niffah ameonesha uwezo mkubwa wa beuty with brain ile division 1.7 yake ya halali,anajipambania mnoo
Hata kama anadanga ila anadanga kwa akili hawa wengine wameshtuka uzeeni ndo maana wanamchukia mnoo niffer amechelewa kuja mjini ila kawazidi parefuuu kiujanja
Kabisa..
Niffer anawaumiza akili sana..
Kama Resty ndiyo atawehuka sababu yake..

Akifikiria Niffer amemkuta kwenya Biashara na anafanya makubwa zaidi yake ndiyo anazidi kuchanganyikiwa na kuwa kubwa jinga
 
Wampe mafunzo yaishe, hata waliochanga hawakujua ni kosa.

Sasa ziwekwe pembeni, naamini mfuko wa serikalini wengi wanasema ndio wanaogopa kuchangia. Labda wasaka connections na kiki
 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.

Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.

Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali

Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Niffer ameshapatikana.
Mimi ninavyojua msiba hauna mwaliko. Wanasiasa wanataka kuteka tukio la kkoo ili waonekana wao peke yao ndio msaada. Wanasiasa watu wa ajabu sana. Yaani hakuna kitu wanasiasa wanapata hofu kama kuona (hata kama sio kweli) mtu mwingine nje ya circle yao anapata sifa zaidi yao.
 
Pm ana jaribu kufanya spining. Yeye ni kiongozi wa waokoaji. Ajikite kwenye kuokoa maisha ya watu hayo mambo ya michango waachiwe polisi! Kwani yanaibiwa mabilion mangapi huko serikalini? Mbona hawahamaki na kuchukia hatua????
Kama Serikali inayojitapa kuhusika kwenye majanga ingejipanga tangu mwanzo kuwa na kitengo cha maafa chenye kila miundombinu na rasilimali fedha kwa maana ya bajeti kiasi hicho, siku ileile asubuhi tungeona jinsi kazi ya uokozi inavyofanyika kwa ufanisi.

Badala yake masaa kibao na siku kadhaa yalipita bila msaada, kwa hiyo watu wangekaa tu kushuhudia?

Wapo walioamua kuchangisha angalau maji, wapo walioamua kutumia nguvu zao kupenya kwenye kifusi, na kuhatarisha maisha yao.
Kama huyo binti aliamua kuchangisha iwe kwa nia njema au ovu katika mazingira yale wakati Serikali ikiendelea na maigizo ....
Sioni kosa lake binti huyo. Zaidi sana ni kujikosha kwa Serikali kwa kutafuta mbuzi wa kafara.....Kwa mara nyingine PM ameniangusha sana, hawezi kupata kura yangu kamwe.
 
Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.

Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?

Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Protocols nifah ndio tatizo..
Wajina wako analo huko!
 
Back
Top Bottom