Nikajua ni wewe aisee kumbe ni mwingine.Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Nchi Iko Autopilot hii.... Yaani inajiendea TU. Kwanza inatakiwa kuwe na taratibu za kisheria mtu afate ndio apewe kibali Cha kuchangisha watanzania.Viherehere kwenye mitandao sio kitu kizuri.
Hata hivyo hatua zimechelewa kuchukuliwa. Sijui jeshi letu ni wazee sana wamejazana huko hadi wanashindwa ku ‘catch up’ na mambo ya kwenye mitandao upesi?
Mtu ameshakusanya mamilioni ya pesa tokea jana na alitangaza kila hatua wao walikuwa wapi?
Ila Resty nimemfahamu via insta na business zake nyingi tuu plus kula Bata mbona sikuona wakimpga vita Ila kwa dogo Niffer anapitia mengi kwa huyo bi. DadaYule Shangazi anaonesha wivu wa wazi kabisa kwa yule mtoto...
Siku zinavyokwenda anashindwa kuzuia wivu wake..
Ataachiwa ila sio kwasababu hajafanya kosa. Zitatumika tu busara. Hata mimi ningekuwa jaji siwezi kumfunga mtoto mkali kama yule. Ana zinga la tako na shepu ile laana.Tulia we mwanamama.
Kosa lake nini sasa hapo? Je ni yeye pekee anachangisha?
Subiri muda utasema, huyo ataachiwa na hakuna kitu kitafanyika.
Nakubaliana na weweNdiomana hawa wakina diamond wanakaaga mbali na hizi mbanga za kijamii
Amesahau alipoanza kuuza vipodozi..kina Director Joan walikuwa Maguru lakini hawakumuandama...Ila Resty nimemfahamu via insta na business zake nyingi tuu plus kula Bata mbona sikuona wakimpga vita Ila kwa dogo Niffer anapitia mengi kwa huyo bi. Dada
😂😂😂😂 tulia bwana, unatuchekesha msibani!Hii nchi inachekesha hata muda wa majonzi.
tatizo sheria zinambana niffer, yeye bwana manguruwe na jatu wana kesi mojaHao viongozi wa serikali wenyewe wanataka ulaji vilevile wao na huyo Niffer wako njia moja
Kabla sijafika dukani kwake nilikuwa nahisi ana bonge la fremu kama Wedding Lydia ila nikakuta kachumba size ya choo cha uswahilini😂😂😂 ndio Resty Cosmetics.Hebu nisaidie,hivi Resty kale kaduna kake ka vipodozi ndio kanampaga maisha yotee au ana uwekezaji mwingine ukiachana na ule wa samaki Thomas uliokufa?
Weka picha yake akiwa amegeukia nyuma na sisi watu wa mikoani tumjueHaina haja ya wakili, Tako lake linatosha kumtoa. Akina Mange si wanasema ni Chakula ya wakubwa 🤣 atasumbuliwa kidogo kisha atatoka.
🤣🤣Ataachiwa ila sio kwasababu hajafanya kosa. Zitatumika tu busara. Hata mimi ningekuwa jaji siwezi kumfunga mtoto mkali kama yule. Ana zinga la tako na shepu ile laana.
Serikali Yako Ina uwezo Gani kama mpaka Leo Kuna watu wamekwama kwenye kifusi?Kwahiyo huyo nifa anajifanya ana uwezo sana . kuizidi serikali siyo
Namkubali sana huyo Resty Ila Kuna sehemu anazingua kinoma hasa kumuandama huyo mtotoAmesahau alipoanza kuuza vipodozi..kina Director Joan walikuwa Maguru lakini hawakumuandama...
Leo yeye kila siku kumuandama Niffer sababu anafanya vizuri kumzidi...
Sasa si ni Ugonjwa wa akili huo
Daah mkuu fremu kama size ya nn 😂Kabla sijafika dukani kwake nilikuwa nahisi ana bonge la fremu kama Wedding Lydia ila nikakuta kachumba size ya choo cha uswahilini😂😂😂 ndio Resty Cosmetics.
Niliondoka na maswali mengi sana
Kuna jamaa yangu alienda hapo anasema fremu ni ndogo kama box la kiberiti.Kabla sijafika dukani kwake nilikuwa nahisi ana bonge la fremu kama Wedding Lydia ila nikakuta kachumba size ya choo cha uswahilini😂😂😂 ndio Resty Cosmetics.
Niliondoka na maswali mengi sana
Hawa wadada wa mjini ukiwafuatilia kuna vitu vingine gizani wanafanya ambavyo vinawapa pesa, hivyo vipodozi ni zuga tu, si unakumbuka kuna yule mwingine alikuwa anawaambia wenzake ana kibubu kila siku anaweka milioni moja kama akiba, leo yupo jela maisha kwa ngadaKabla sijafika dukani kwake nilikuwa nahisi ana bonge la fremu kama Wedding Lydia ila nikakuta kachumba size ya choo cha uswahilini😂😂😂 ndio Resty Cosmetics.
Niliondoka na maswali mengi sana
Resty na kujivinjari .......Kuna jamaa yangu alienda hapo anasema fremu ni ndogo kama box la kiberiti.