Huyo aliyeagiza mchangishaji akamatwe ndio tapeli na muongo namba moja aliwadanganya watu Magufuli yuko imara anasoma mafile kumbe ameshajifia Mzena.
2021 alitumia kodi za wananchi kuunda tume ya kuchunguza tukio la moto hapo hapo Kariakoo leo hii ni miaka 3 tume haijawahi kuleta matokeo ya uchunguzi wake.
Polisi nao kwakuwa ni division four yakipigiwa mluzi kama mbwa hayo yashaenda kukamata.
2021 alitumia kodi za wananchi kuunda tume ya kuchunguza tukio la moto hapo hapo Kariakoo leo hii ni miaka 3 tume haijawahi kuleta matokeo ya uchunguzi wake.
Polisi nao kwakuwa ni division four yakipigiwa mluzi kama mbwa hayo yashaenda kukamata.