πππππππ Ni nomaHawa wadada wa mjini ukiwafuatilia kuna vitu vingine gizani wanafanya ambavyo vinawapa pesa, hivyo vipodozi ni zuga tu, si unakumbuka kuna yule mwingine alikuwa anawaambia wenzake ana kibubu kila siku anaweka milioni moja kama akiba, leo yupo jela maisha kwa ngada
π€£Resty na kujivinjari .......
Kwasababu anamdomo sana akionywa kwa maneno haitatosha achunguzwe chanzo cha mapato yake, ni muda gani kafanya biashara, record zake za kulipa kodi TRA zichunguzwe ikionekana kodi anayolipa haina uwiano na biashara zake afunguliwe kesi ya kukwepa kodi, liunganishwe na kosa la kukusanya fedha kwa jamii bila kufata sheria na afunguliwe kesi ya utakatishaji fedha akihangaika na hiyo kesi isiyo na dhamana hata akitoka itakua ni onyo zuriWampe mafunzo yaishe, hata waliochanga hawakujua ni kosa.
Sasa ziwekwe pembeni, naamini mfuko wa serikalini wengi wanasema ndio wanaogopa kuchangia. Labda wasaka connections na kiki
Haya ndiyo ma umbwa kama yale yanayozunguka majalalani. Alichofanya Niffer ni kama wale vijana waliojitolea kuokoa maisha ya watanzania wakati serikali nzima imelala usingizi mzitoWaziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa amesema hakuna mtu yeyote ambaye anaruhusiwa kuchangisha fedha kufuatia tukio la ajali ya kupomoka kwa grorofa la Kariakoo.
Pia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa baada ya kuzungumza katika eneo hilo akasema JENIFER JOVIN maarufu Niffer atafutwe ili aeleze nani ambaye alimpa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia tukio hilo kwa sababu Serikali ina utaribu wake katika mafaa kama haya.
Pia, Soma: Maafa Kariakoo: Usichangishe fedha tumia akaunti ya Serikali
Aidha baada ya agizo hilo majibu yakatolewa eneo la Kariakoo wakati Waziri Mkuu anazungumza kwamba Mfanyabiashara Niffer ameshapatikana.
Nashangaa mpaka sasa hata jina halitajwi. Nahisi atakuwa Kada mkubwa wa chama cha MchichaMmiliki wa hilo gorofa yupo uraiani?
Kajisomee sheria inayohusu money launderingπ€£π€£
Wewe ukiwa kwenye mamlaka ni baltazar namba 2.
Haya mh jaji baltazar kosa la huyo binti ni nini?
Mchele ushatembeaNashangaa mpaka sasa hata jina halitajwi. Nahisi atakuwa Kada mkubwa wa chama cha Mchicha
Asome pamoja na sheria ya Maafa ambayo inasema siyo kosa kuchangisha kosa ni kutozipeleka fedha kwa kamati ya maafa. Swali ni je mchangishaji alikuwa amefika mwisho wa kuchangisha? Je, kuna dalili kwamba hakuwa tayari kuziwasilisha katika kamati hiyo?Kajisomee sheria inayohusu money laundering
Majanga yanatokea popote hata ingekua marekani acha ushamba wewe. Kwani serikali ndio ilimwambia huyo mwenye nyumba agonge gonge huko chini mpaka hilo jumba lidondoke? Mengine mnayasababisha wenyewe kwa tamaa zenu na ujuajii likitokea janga lawama kwa Serikali pumbavu sana.Serikali Yako Ina uwezo Gani kama mpaka Leo Kuna watu wamekwama kwenye kifusi?
Mkuu hapa ndipo pa kuanzia, watanzania kwa mihemko hatujambo!!!Kumbe sio kosa kuchangisha kosa ni kuto declare
πββοΈπππ―π€πAsome pamoja na sheria ya Maafa ambayo inasema siyo kosa kuchangisha kosa ni kutozipeleka fedha kwa kamati ya maafa. Swali ni je mchangishaji alikuwa amefika mwisho wa kuchangisha? Je, kuna dalili kwamba hakuwa tayari kuziwasilisha katika kamati hiyo?
Jennifer ni mfanyabiashara wa kkoo?Kama wana umoja wao hao wafanyabiashara wa kkoo wasijichangishe?
Kwani serikali si kila bajeti huwa wanatenga fungu kwa ajili ya mfuko wa maafa sasa wanachangisha nini tena hela zilizotengwa ziko wapi mpk waanze kuwaonea wivu wengine wanaochangisha?
Mambo mengine ni aibu sana hasa yanapotendwa na kiongozi mkubwa hivyo