Zanzibar 2020 Jeshi la Polisi Zanzibar limelazimika kutumia mabomu ya machozi katika baadhi ya maeneo kutokana na viashiria vya uvunjifu wa amani

Rais gani amefungwa huko
Jipendeleeni kujidanganya!!
Pumbavu.Kwa hiyo Polisi iwashangilie na kuwasindikiza waende zao nyumbani.Hatutaki ujinga huo.
ndiyo nakwambia hivi police isipotumia busara hapa mambo yanakwenda kubwa mabaya zaidi, Police yoyote duniani haiwezi kupambana na wananchi wake!! ikashinda...

Kinachoshinda huwa ni busara tu toka kwa Police.
 
USA Kwanini alijitoa kwenye hiyo mahakama ?

Jipendeleeni kujidanganya!!
ndiyo nakwambia hivi police isipotumia busara hapa mambo yanakwenda kubwa mabaya zaidi, Police yoyote duniani haiwezi kupambana na wananchi wake!! ikashinda...

Kinachoshinda huwa ni busara tu toka kwa Police.
 
Dawa yake ni kukinukisha hadi maccm yote yafilie mbali hukooooo peponi
 
Watuambie maiti zinazoonekana kwenye mitandao ya kijamii nani amewaua wale watu?

Mnachukua muda mrefu kutoa majibu halafu mnakuja na taarifa laini isiyojitosheleza.
Ndugu yako amekufa au?
 
Jeshi haliwezi kushindana na wananchi wake likawashinda...kinachotakiwa hapo ni busara tu.
Inategemea ni wananchi wepi, walio timamu au wendawazimu wanaochoma matairi barabarani. Wendawazimu wanaoharibu mali za umma kwa hasira binafsi wanaweza dhibitiwa hata na mgambo wa kijiji.
 
..Polisi walitakiwa wasitishe kura ya mapema.

..Vifo vilivyotokea chanzo chake ni kura ya mapema.

..Kwanini Polisi waliruhusu kura ya mapema iendelee wakielewa kabisa kwamba kulikuwa na "viashiria" vya kuvunja amani?
Uchaguzi usitishwe kwa kuwa kuna wendawazimu hawawezi kutulia nyumbani wasipokuwa na kazi ya kufanya! Watu kama hao ni kuwashughulikia tu mpaka washike adabu.
 
Nasikia mtwara imevamiwa na alishababu vipi polisi wetu watakwenda na huko ?
Hivyo umefurahi siyo! Upinzani wa nchi hii wa hovyo kabisa. Raia anafurahia nchi yake kushambuliwa. Hivi huwa mnapewa viroba vya wapi nyie watu.
 
Hawa keyboard warriors wa huku mitandaoni hamna kitu kabisa. Hata mawe hawawezi kuokota. Maneno matupu tu.
 
Kuna vifo na vilema vya kujitakia. Unajua kura ya leo haikuhusu wewe unaiparamia.
 
Pumbavu.Kwa hiyo Polisi iwashangilie na kuwasindikiza waende zao nyumbani.Hatutaki ujinga huo.
Wanataka polisi kutumia busara ambayo wao wenyewe hawana na hawako tayari kuwa nayo.
 
Jeshi haliwezi kushindana na wananchi wake likawashinda...kinachotakiwa hapo ni busara tu.
Mbona limewashinda?
Pia ieleweke JESHI halijashindana na wananchi limeshindana na wahalifu.
 
MAALIM SEIF AACHIWA HURU SPANA ZA JINO KWA JINO ZIKO PALEPALE

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…