Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

tumelogwa, na mlogaji keshafariki.....wapumbavu kwa uoga wao wanafikiri jeshi liko juu ya sheria.
Mwabukusi amefafanua sheria wao wanaona km anabishana na Kesho.
Safari ni ndefu,ktk kijiji kinaitwa Tanzania...wao kubisha tu hata mambo yakiwa wazi kiasi gani, wacha wakenya watucheke.
 
Kwani wao ma POLISI wanasemaje katika hili?
 
Huyo ni mgonjwa wa akili,na anapaswa kuwa mirembe,kama anaona jeshi linakosea achukue hizo nguo avae apite jirani pale lugalo Kisha majibu atayapata
 
Kama una sare za jeshi pela haraka

Au kazitupe pale mwenge usiku
 
Kwa akili zako unadhani jeshi ni mavazi kwamba mavazi yatasababisha kuwe na jeshi lisilo rasmi mtaani hizi akili za zamani achana nazo
Kinachoendelea hapo ni siasa mzee
Hakuna zaidi
Wakati nyie mnaandamana kupinga mkataba wa bandari jeshi litakuwa mtaani likitafuta sare zake
Mnaongea mambo mengi yasiyokuwa na mantiki pointi iko hapo
 
Nimesoma comments humu nimegundua watanzania hatujawekeza kwenye suala Moja tu nyeti.Elimu!elimu!elimu!
 
Watanzania tuache kuchekea ujinga. Jwshi linapaswa kufanya mambo serious na sio kuanza kusumbua raia. Jeshi linapaswa kuwa sehemu ya raia kukimbilia pale ambapo vyombo vingine vyote vimeshindwa
Kweli jeshi halipaswi kuingia kwenye komedi za kisiasa na kiraia, jeshi letu Lina hadhi na heshima ya kipekee, jeshi haliwezi kuishi na mambo ya kichawa ila Kuna baadhi ya watoto wachanga ndani ya jeshi wanafanya mambo ya kichanga, wabobezi katika jeshi letu aminia waelekezeni vijana Hawa chonde tupo pamoja,respect
 
Boniface Kajunjumele Mwabukusi Mwavurugwa
 
Niliwadharau Sana hawa Jamaa Baada ya Panya Road kupiga tukio na Kuua Binti Mrembo Kawe Jirani na Kambi yao
 
Jeshi linapaswa kuzagaa mtaani pale ambapo wanaona kuna external threat au wenyewe wameamua kuchukua nchi. Sasa kweli unakatiza mitaa ya mbagala kusaka sare za jeshi?
Wangeingia Kitaa Kusaka Panya Road ningewakubali sana
 
Mwabukusi si mrefu atapelekwa kufanya remix ya nyimbo ya Selemani weeee iwe ya kwake.Atoke Sele aingie yeye.
 
Badala ya kupambana na wavaa vipedo huko kibiti na Rufiji wanaochinja askari wenzao kila siku ,wanaenda kubully raia kitaa .
Jeshi la kipumbavu lilijaa mataahira ,
Pumbavu sana
 
Wewe kibwengo tu subiria upatikane na hizo nguo ndio utaongea vizuri
Sibishani na bumunda zuzu kama wewe kawaulize mabumunda wenzio walifungua kesi ya ugaidi ya Mbowe walifikia wapi?
 
Wakienda Congo wanachezea kichapo cha kila aina wakirudi bongo,tutapita nyumba kwa nyumba,Mbona Wakiwa Goma hawapiti nyumba kwa nyumba
 
Naona waongea kama mtu ulieghafirika.

Umeelewa nilichoandika?

Soma tena kwa makini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…