Sana tu, katukana viongozi kimyaa, kamtukana Rais kimyaa, Kawatukana police kimyaa sasa anataka kutest maji, Nadhani atawataja walioko nyuma yake very soon. Ana act kama vile ndio kahamia Tanzania juzi wakati jitu lina miaka 60 huko. Nchi zote duniani watakosoana lakini siku zote wanalipa jeshi lao heshima hata kama kuna mapungufu. USA walisema hakuna mwanajeshi wao atashtakiwa kwa kuvunja haki za binadamu japo wao ni machampion wa mambo hayo. Israel alikataa wanajeshi wake kushtakiwa.. na wengine wengi. Hawa sio wajinga. Sasa huyu kafika sehemu anataka kuhatarisha amani ya nchi. shida hapa ukiwakashifu jeshi au police na wakakulia kimya unafungua mlango na kufunga itakuwa too late. Mshughulikieni huyu haraka.