Wilderness Voice
JF-Expert Member
- May 19, 2016
- 921
- 1,649
We are proud of being standard seven. Standard sju är en grundläggande för utbildning. Om du föraktar det kan du till och med vända dig till dina föräldrar som tar dig till den här världen.Nyie la saba failure mnasumbua sana huku!
Story za vijiwen ndo zimewajaa vichwani...
Mkuu. "with all due respect" usiwe kama mtu ambae hatumii akili.Namheshimu sana Mwabukusi na ninamuunga mkono katika baadhi ya mambo kama DPW. Au kupinga badndari zetu kugawiwa bure kwa DPW.
Ila ktk ili nadhani hatofautishe utendaji wa kazi za jeshi na polisi. Pia hatofautishe sheria zetu jinai na taratibu za kijeshi.
Ajiulize, kwanini jeshi lina mahakama yake ya kijeshi. Kwanini mwanajeshi akivunja sheria lazima kwanza taratibu zao za kijeshi zifuate avuliwe uanajeshi ndipo taratibu za kawaida za kijinai zifuatwe.
Anatakiwa ajue taratibu za kijeshi na intelligency za kijeshi. Jeshi halikurupuki kufanya jambo. Si mara ya kwanza jeshi kufanya zoezi kama hili. Nakumbuka miaka ya nyuma mkoa fulani zoezi ili lilifanyika na lilisaidia kuzuia uharifu. Yaani ukichekea watu hati sheria za kijinai unaweza shangaa unajeshi lisilo rasmi nchini. Au watu tayari wanamiliki silaha.
Na zoezi ili ufanywa na Military police. Wanajua taratibu tuache wafanye kazi.
Hizo kelele za chura
Hichi kiswedish hakitakusaidia nduguWe are proud of being standard seven. Standard sju är en grundläggande för utbildning. Om du föraktar det kan du till och med vända dig till dina föräldrar som tar dig till den här världen.
Wanajeshi wa Tanzania kuna wakati hufanya mambo bila kujitambua kuwa wafanya makosa na ni kinyume cha sheria.Tunahitaji wananchi wote wawe na uelewa, wajue majukumu ya kila taasisi na yao pia kisheria, waweze kutambua haki zao ili waweze kupambana katika dunia yya ushindani.
Umasikini wa nchi una uhusiano mkubwa sana na kujielewa kwa jamii na raia kwa ujumla.
Hoja za Mwabukusi ni za msingi sana katika kujenga uzalendo kwa sababu hakuna mzalendo wa kweli ambaye ni muoga kwa sababu ya ujinga au kutojielewa.
Raia wengi wa nchi tajiri wana uelewa na siyo waoga ambapo katika nchi masikini ni kinyume chake.
Kuwa na raia wasio waoga, wenye uelewa na majasiri ni manufaa kwa nchi na kinyume chake ni hasara kwa nchi na dunia kwa ujumla.
Wewe ndo hutumii akili kwa sababu hujui majukumu ya jeshi. Mmekariri vita tu. Ha ha ha! Ingekuwa jeshi linasubiri vita kwanini mabalozi wengi duniani ni wanajeshi.Mkuu. "with all due respect" usiwe kama mtu ambae hatumii akili.
Yaani wanajeshi hawapaswi kuonekana hata kwenye vilabu vya pombe kusaka na kugombea wanawake (wenyewe huita wavila), upumbavu mtupu.
Jeshi shughuli zake zote ni makambini na hawapaswi kuwa mitaani mpaka pale hali ya dharura inapotangazwa.
Dharura hiyo ni maafa, uasi na vurugu ambazo ni jeshi la polisi huomba msaada.
Na ni serikali ndo hutoa mari kupitia waziri wa ulinzi kutuma wanajeshi kushika sehemu muhimu.
Tusijitwishe ujuaji uso na manufaa yoyote.
Sina haja ya kusoma hii pumba.Wewe ndo hutumii akili kwa sababu hujui majukumu ya jeshi. Mmekariri vita tu. Ha ha ha! Ingekuwa jeshi linasubiri vita kwanini mabalozi wengi duniani ni wanajeshi.
Kwa nini maofisa wengi balozini ni wanajeshi. Si wangekaa kambini kusubiri vita kama unavyomaanisha.
Kwanini kamati za usalama za nchi nyingi hata hapa Tanzania kamati za usalama zinajumuisha wanajeshi, anzia wilayani, mkoa hadi Taifa. Unajua vikao vya ulinzi na usalama vinajadili maswala gani?
Ati serikali! Unajua hiyo serikali inavyoendeshwa? Unajua mambo yote unayoyaona kuanzia kijinini kwenu, wilayani, mkoani hadi Taifa jeshi wanahusikaje?
Kwa taarifa yako humu duniani serikali zote zinategemea jeshi. Si maswala tu ya vita hata na mengineyo.
Kagame, na ethiopia wanaongoza kwa kuwa na wanajeshi wengi nje hawako kivita wapo kwa kazi maalum. Marekani, Uingereza, Ufaransa, na nchi zinginezo wanajeshi ndo maintellijensia wa uchumi. Jeshi linakazi zaidi ya vita.
Tafakari ndugu yangu. Unajua mambo unayoyaona nje ni tofauti na inavyokuwa ndani.
Mfano tu wakati Rais Magufuli amefariki kulitokea matafaruku nani ashike nchi, kuna baadhi ya viongozi waliosema Makamu wakati huo Samia hawezi. Ili liko wazi. Mama Samia alilisema na Mkuu wa Majeshi wakati huo aligusia kidogo.
Ni Mkuu wa majeshi ndo alie toa msimamo kuwa katiba ifuate wote wakaufyata! Kwanini Mkuu wa jeshi aliingia katika kikao cha serikali si angekuwa kambini kwa msemo wako.
Narudia jeshi si vita tu!
Uliongea kiingereza ukiwa msomi wa PhD nami nikaona though am out of english vocabruary with my standard seven let me express with the language I know. Na darasa la saba Mungu kanisaidia kuizunguka dunia na walau kujua lugha mbalimbali make hata kiswahili nilifeli nikiwa la saba.Hichi kiswedish hakitakusaidia ndugu
Mjinga siku zote udhani afikiriacho yeye ndo sahihi hivyo ukionancho pumba umewaza kipumba.Sina haja ya kusoma hii pumba.
Jeshi si vita=Jeshi ni kukusanya vitambaa
Umeendekeza pumba sanaMjinga siku zote udhani afikiriacho yeye ndo sahihi hivyo ukionancho pumba umewaza kipumba.
Ukibishana na mpumbavu waweza kuwa mpumbavu, nadhani katika hilo, akili zako zimejazwa pumba ndo maana umekariri pumba. Uwe na wakati mwema wa kuwaza pumba. Ha ha ha!Umeendekeza pumba sana
Silence is better than unnecessary drama tuishie hapaUkibishana na mpumbavu waweza kuwa mpumbavu, nadhani katika hilo, akili zako zimejazwa pumba ndo maana umekariri pumba. Uwe na wakati mwema wa kuwaza pumba. Ha ha ha!
Kweli Uko bangi 😂Hizo kelele za chura
You started with mouthfool provocation instead of discussing the matter in issue. I was not suprised with your attack on personality instead of narrating your logics to convice what is contrally to your point.Silence is better than unnecessary drama tuishie hapa
Uliambiwa hii rangi ya laana .Hivi, kwanini Tanzania na Africa kwa ujumla wenye akili uchukiwa kwa kiwango hiki?.
Shida unatetea uwendawazimu [emoji53][emoji53]You started with mouthfool provocation instead of discussing the matter in issue. I was not suprised with your attack on personality instead of narrating your logics to convice what is contrally to your point.
Ni kwambie tu ndugu yangu. Wengine hata hatujazaliwa tulitukanwa tukiwa tumboni mwa mama zetu. Tukazaliwa tunatukanwa hadi tunakua. So kwangu mimi matusi wala sijali na siumii. Na si njia ya kunifanya niache kusimamia nacho kiamini.Silence is better than unnecessary drama tuishie hapa