Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Jeshi la wananchi laonywa lisivunje katiba ya nchi kwa kufanya majukumu yasiyo yake kwa mujibu wa katiba na sheria za nchi

Namheshimu sana Mwabukusi na ninamuunga mkono katika baadhi ya mambo kama DPW. Au kupinga badndari zetu kugawiwa bure kwa DPW.
Ila ktk ili nadhani hatofautishe utendaji wa kazi za jeshi na polisi. Pia hatofautishe sheria zetu jinai na taratibu za kijeshi.

Ajiulize, kwanini jeshi lina mahakama yake ya kijeshi. Kwanini mwanajeshi akivunja sheria lazima kwanza taratibu zao za kijeshi zifuate avuliwe uanajeshi ndipo taratibu za kawaida za kijinai zifuatwe.

Anatakiwa ajue taratibu za kijeshi na intelligency za kijeshi. Jeshi halikurupuki kufanya jambo. Si mara ya kwanza jeshi kufanya zoezi kama hili. Nakumbuka miaka ya nyuma mkoa fulani zoezi ili lilifanyika na lilisaidia kuzuia uharifu. Yaani ukichekea watu hati sheria za kijinai unaweza shangaa unajeshi lisilo rasmi nchini. Au watu tayari wanamiliki silaha.

Na zoezi ili ufanywa na Military police. Wanajua taratibu tuache wafanye kazi.
Jaribu kuelezea vema,kuna mtu kaibiwa simu huku,anataka aende kwa Military Police,akashtaki,aje afanye msako.. huku uraiani,jibu hapa,ili tumpe escort aende kwa MP badala ya kituo cha polisi.
 
Wakienda Congo wanachezea kichapo cha kila aina wakirudi bongo,tutapita nyumba kwa nyumba,Mbona Wakiwa Goma wehawapiti nyumba kwa nyumba
Kule kuna wapiganaji,wengine wamepata mafunzo ya kijeshi,kwahiyo ni tofauti na huku Tanzania,raia hana mafunzo ya kijeshi,na hana silaha,jiongeze.
 
Back
Top Bottom