johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hata jeshini ana force number usimchukulie poa!Mambo ya Total alitujuza sababu huko
Mzee mzima ana mtonyo huko
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata jeshini ana force number usimchukulie poa!Mambo ya Total alitujuza sababu huko
Mzee mzima ana mtonyo huko
Ova
Hii nyaraka iko sawa sawa kweli!Najua muda huu mkuu Pascal Mayalla uko njiani kuelekea pale Ngome kuitikia wito wa JWTZ.
Natumai utatuhabarisha yanayojiri kama ulivyofanya juzi kwenye ule mkutano wa TOTAL.
Mungu wa mbinguni akupe wepesi.
Hata we unaweza kwenda hapoHata jeshini ana force number usimchukulie poa!
Hakuna kitu kama hicho labda bifu za chini chini tu!!Ni swala la mda police watavuna walichokipanda , inawezekana top ten leaders jeshini wapo upande wa serikali ,ila ukiondoa hao Sio wote wanaweza kuwa wanakubaliana na upuuzi unaofanywa au endelea kufanywa na jeshi la police, ipo siku kitawaka
Unaota bro police wapo juu ya JWTZNdiyo kesho linatolewa tamko juu yao hao ndiyo mtajua kuwa hamjui na virungu vyenu mtatandikwa huku mnachekwa na kuzomewa
Mnadanganywa kama makasuku nanyi mnakubali tu kama mazumbukuku tu.kuna uongo mkubwa kama ule wa kuhubiri EL fisadi kwa zaidi ya 10yrs halafu ndani ya mwaka mmoja anagombea uraisi anaitwa msafi...?..
Kuna uongo mkubwa kama ule wa Dr Slaa alipotudanganya kuna mradi wa bomba la gas kupita baharini kuelekea dubai..?
Kuna uongo mkubwa kama ule wa Dr Slaa kusema Riz 1 kakamatwa na madawa China na JK kaenda kusainishwa mkataba..
Kuna uongo mkubwa kama ule wa TL pale BBC eti mlinzi wa JPM amekufa kwa Covid wakati yuko hai ?....
Wanasiasa wote Tanzani ni waongo tu na matapeli, watanzania wote ukiwemo wewe ni matapeli matapeli na waongo waongo tu..., siwezi kushangaa ndio utamaduni wetu kudanganya na kudanganywa...
Wacha bhangi basiUnaota bro police wapo juu ya JWTZ
Wakubwa wa jeshi wana maisha mazuri sana, akini mwao hata siku moja hawawazi hilo.Inawezekana ccm ndiyo byebyebyebye
Yaani tamko alafu, Rais wa nchi asijue linahusu nini kama ni hivyo basi watu wa usalama hawajui kazi yao.Bibi ushungi anaenda benchi nini?
Una akili ndogo sana kama unajua kitachoongelewa Madem president hakijui unaota yaaniSamia tumbo joto, ushungi haukai wala haufungi.
Inawezekana wewe hata jkt hujawahi kupitia ndiyo maana unalishusha heshima jeshi letu.Wakubwa wa jeshi wana maisha mazuri sana, akini mwao hata siku moja hawawazi hilo.
Hao walikuwa wanampigia saluti moaka Makonda sasa unategemea lipi la maana kutoka kwao?
Tutafute ugali wetu tu.
Wakisema ivyo picha zao zitazagaa vilivyo ,sidhani kama wanaweza toa tamko la namna hii,ila kwa tz kitu kinawezekana kwamba police anamtesa KWa malungu komandoo KWa interest za siasa chafuWanajitenga nao?😅 Utasikia sisi hatuwatambui na wala hawakuwahi kutumikia jeshi hili lenye uadilifu mkubwa
Sasa wamechukua action gani kuhusu wenzao?Wacha bhangi basi
We ni mbuzi unajua vikwazo utakavyowekewa vitkufanya ununue mche wa sabuni sh 5000/ ? Mnaongea tu,ukiona jeshi linachujua nchi ujue uchumi utadondoka vibaya sana maana hawana wanachojua zaidi ya amriNdio mara ya kwanza tokea uhuru tunaenda kutawaliwa na jeshi nipo nimefurahia kusikia hivyo
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] polee mkuu.Wakae tuu kambini,kazi yao ni moja tuu kulinda mipaka ya nchi, tangu wanirushe kichurachura na kunivua shati bila sababu siamini wajinga hao bora tupambane na wezi wa kura CCM kuliko hayo yenye SMG na vifaru
Elimu ya kufanyaje sasa! Yakuto kuogopa jeshi?Raia wengi bado wana ogopa sana wakisikia JESHI,elimu itolewe.
Jeshi limeanza kufanya siasaJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa kesho Novemba 30, 2021 litafanya mkutano na waandishi wa habari kutoa tamko maalum.
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa mikutano ilipokuwa makao makuu ya jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam saa nne asubuhi.
Vyombo vyote vya habari vinaalikwa.
View attachment 2027686
Embu andika lako uki assume wewe ni mkuu wa habari mawasiliano apo kwenuNililiona hili tangazo mapema sana nikashindwa kulitima kwenye socal media maana aliyeliandika ameliandika kindezi sana