"Wakati tunaelekea kwenye Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa tanganyika, jeshi limeandaa gwaride, maonesho ya ndege za kivita, n.k" wananchi mnakaribishwa wote kushirikiJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa kesho Novemba 30, 2021 litafanya mkutano na waandishi wa habari kutoa tamko maalum.
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa mikutano ilipokuwa makao makuu ya jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam saa nne asubuhi.
Vyombo vyote vya habari vinaalikwa.
View attachment 2027686
Wananchi wa CCM ndo wanaongoza kwa kupatwa na taharuki. Pole kwa wananchi wa CCM na makada zake!!Binafsi sijawahi kuona wala kusikia jeshi likitoa taarifa kwa umma kwamba litatoa tamko maalum.
Wananchi wamepatwa na taharuki kubwa sana kufuatia tangazo hili.
Yalianza wakati wa kikwete, baada ya kuhisi anguko la serekali mwaka 2010 wakati huo shimbo akiwa chief of staff,Binafsi sijawahi kuona wala kusikia jeshi likitoa taarifa kwa umma kwamba litatoa tamko maalum.
Wananchi wamepatwa na taharuki kubwa sana kufuatia tangazo hili.
View attachment 2027482
Amka usije kojoa kitandani weweMara paap kesho mbogamboga wapo magogoni wanashika usukani.
Akili kubwa haijawahi kuwa na hofu na akili ndogoMbona kama wewe ndio una hofu hivi? [emoji23] relax bro
Ugaidi fake,ruksa ujenzi wa Bagamoyo na matamko ya ovyo ya viongozi na kukosa control kwa dereva ndizo mada wanzoenda kutolea tamko rasmi.Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa kesho Novemba 30, 2021 litafanya mkutano na waandishi wa habari kutoa tamko maalum.
Mkutano huo utafanyika katika ukumbi wa mikutano ilipokuwa makao makuu ya jeshi, Upanga jijini Dar es Salaam saa nne asubuhi.
Vyombo vyote vya habari vinaalikwa.
View attachment 2027686
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chama cha mazuzu kikiwa byebye ..Amka ukojoe wewe, usije ukakojoa kitandani!
Embu tudadavulie mkuuHivi Mbona watu wanachukulia tamko maalum la jeshi kama mzaha mzaha tu. Hivi mnajua maana ya tamko la jeshi au?
Umenichekesha san eti "Geshi"letu umenikumbusha mashemeji zangu hawawezi kuita shemeji wananiita Shemegi. HahahahaGESHI letu liache siasa za press conference.
Kwani General Alsisi wa Misri alipata ruhusa ya Mursi kutoa tamko la kumpindua Mursi?na ndo amiri jeshi mkuu wa majeshi yote ya TZ, anapigiwa salute na wakuu wote wa majeshi TZ na ndo mkuu wao, hata hilo tamko hawawezi toa bila ruhusa ya mama.