Ndiyo kesho linatolewa tamko juu yao hao ndiyo mtajua kuwa hamjui na virungu vyenu mtatandikwa huku mnachekwa na kuzomewaWaulize luteni Urio,Lingwenya na Adamoo (makomandoo) wanaujua vizuri mziki wa wazee wa PGO
Au wanatangaza nafasi za kujiunga na shule ya sekondari MakongoUsishangae asubuhi ukaikuta bombardier ipo kikwajuni
Am not sure!!Wale wa kisutu?
Hapo hakuna anayejua ila ukweli Hangaya leo usiku utakuwa ni mrefu sanaAu wanatangaza nafasi za kujiunga na shule ya sekondari Makongo
Basi sawa. Mimi ni Mnyangara. Jewee!!Wewe ni Mnyangara kawadanganye wasiyo kujua.
Duuuu hapo patachimbikaJamaa wamekatwa mishahara mwezi huu
Huwezi kuwa mziba weweBasi sawa. Mimi ni Mnyangara. Jewee!!
Baadhi yenu humu mkishaangalia habari za umavimavi wa Guinea na Chad mixer Kvant mnawazaga ujinga tu mkisikia neno JWTZ.
Labda babaako sio?Huwezi kuwa mziba wewe
Baba yangu mimi ni Muha hawezi kuwa mhayaLabda babaako sio?
Tamko la hivyo huwa halina maandalizi kwa raia unastukia tu tbc wanatangazaInawezekana ccm ndiyo byebyebyebye
Bro una mteruu buku[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Itakua kuhusu maadili.
Video ya vijana wa IFM ndiyo mzizi wa show.
Kama siyo hivyo kama hauna stock ya chakula kazi unayo.