Jina lako, mada zako, comment zako ni perfect match.Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Best trust me.hawa hawa...usiwadharau
Laiti kama wazee wetu walipigana na hawa majamaa kwa mishale na wakashinda... kwa nini sisi tushindwe. Nchi inapaswa kujilinda kwa namna yoyote ile dhidi ya adui. Apigwe tu akileta chokochokoTuache pambana na mbu .. inzi.. mebde na kipindu pindu. Tuache tafuta mlo m1 kwa siku..Tuanze ugomv na marekan?
Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mawazo ya kipumbavu. Badala ya kuangalia namna ya kumsaidia rais uchumi ukue u awaza upumbavu huku umekaa sebuleni kwa shemeji yako na remote miguu ipo juu ya stool unasubiri chakula...
Hapana. wakaiweke Canada ya kusini.Kwa hiyo shekhe unataka JW wakaweke yao Cuba!?
Unaufikiria Uchumu kukua katika angle ipi?Mawazo ya kipumbavu. Badala ya kuangalia namna ya kumsaidia rais uchumi ukue u awaza upumbavu huku umekaa sebuleni kwa shemeji yako na remote miguu ipo juu ya stool unasubiri chakula...
Acha haya maneno kudharau Jeshi la kizalendo JWTZ.Best trust me.
90 ya wanajeshi wetu ni mzigo, hawajapata mafunzo ya kisasa.
Imagine Mimi nimepiga course BASEMENT moja yenye jina mwaka 2013 lakini syndicate tulitumia ramani ya miaka ya 1954.
Nilichoka sana, na kwakweli ule mchezo wa kutafuta vitu vilivyofichwa maporini vijana wanafanya uhuni kwa kishirikina na makamanda wasimamizi.
Kama unavyoona uhuni wa chuo kikuu vijana kumhonga lecture asiwakazie na JWTZ pia kuna huo uhuni.
Hamna ubavu wa kukorofishana na Marekani nyie wamatumbi.Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Alafu ndio mtoa mada anawaza kukorofishana na Marekani...Best trust me.
90 ya wanajeshi wetu ni mzigo, hawajapata mafunzo ya kisasa.
Imagine Mimi nimepiga course BASEMENT moja yenye jina mwaka 2013 lakini syndicate tulitumia ramani ya miaka ya 1954.
Nilichoka sana, na kwakweli ule mchezo wa kutafuta vitu vilivyofichwa maporini vijana wanafanya uhuni kwa kishirikina na makamanda wasimamizi.
Kama unavyoona uhuni wa chuo kikuu vijana kumhonga lecture asiwakazie na JWTZ pia kuna huo uhuni.
Kuna haja ya kuweka military base ya Urusi, China na Korea kuzunguka nchi yetu.Kwa hiyo shekhe unataka JW wakaweke yao Cuba!?
πππIwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mimi sijadharau bali nimeongea uhalisia.Acha haya maneno kudharau Jeshi la kizalendo JWTZ.
Mikakati tayari ishaandaliwa na Kingai.Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii, japo sio kipaumbele chetu, Je! JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Aisee mkuu Sanda Ali,hapo umeongea kitu kimoja adhimu sana watu wengi wanakwepa sana hizo discussion lakini ukweli ndio huo.Hilo jambo la CHEATING lipo karibia nyanja zote especially kwa hapa Tz.Na impact kubwa ya cheating huwa ni low quality and poor performance ambayo inaletelezea poor results.Mimi sijadharau bali nimeongea uhalisia.
Nimepiga kozi mbili za kijeshi.
Yaani cheating zipo sana jeshini.
Ndio maana mimi sio kila university graduate ninamuheshimu. Wengi wamefika mpaka university kwa janjajanja. The same kwenye majeshi yetu.
Hivi mtu anayetoa hela ili anunue nafasi jeshini unamweka kundi gani?
Ok.
Jambo jingine fikiria, Private wa Jeshi la wananchi anajua vitu vingapi?
- Anajua kutumia computer?
-Anajua kuendesha convoy za jeshi?
-Anajua kurusha drone za kivita?
-Anajua kuendesha pikipiki?.
Kwa nchi za wenzetu private lazima ajue vitu hivyo huku sisi si wote wanaojua hivyo