Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tunategemea vichaka kwa ajili ya kujifichaIwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Ushawishi huo unatuweka kwenye risk zipi?Marekani hawezi korofishana na Tanzania kwa East Africa sisi ndio gateway kwa nchi zote za maziwa makuu.
Kiufupi tuna ushawishi na siasa za nchi nyingi zilizotuzunguka.
Kenya anajitutumua tu ila sisi ndio wenyewe.
Kwa kiasi kikubwa, hicho ndicho kilikuwa kigezo cha kuleta muungano wa Tanganyika na Zanzibar enzi hizooIwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Hata ukiuangalia huo muungano, ndiyo maana unawapa shida wengi. Basic idea ilikuwa tu kutokuweza kuweka base pale, full stop.Kwa muktadha huu bado tunahitaji jambo la ziada zaidi ya muungano !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!!
Saizi yenu ni Mbowe sio WamarekaniIwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Lazima itufukirishe
I Spend two days on the USS Nimitz Aircraft Carrier, getting a grand tour of the giant ship, seeing behind the scenes on its operation, and getting to see deck launches and landings. It was one of the most awesome experiences I've ever had. Source: Kermit weeks channel : USS Nimitz - VIP tour & flight deck action
Utapasuka msamba. Jeshi letu ni la kulinda Jamhuri yetu.Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
US wakikutaka wewe Wala hawahitaji kutumia Military base yao iliyoko Somalia ama Kenya, watakufikia Moja Kwa Moja kutoka Washington DCIwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kwa kiasi kikubwa, hicho ndicho kilikuwa kigezo cha kuleta muungano wa Tanganyika na Zanzibar enzi hizoo
LOooo, mkuu, mbona unanishangaza sana leo!Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani mawazo yako na jina lako viko sawa kabisaIwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani jwtz iwaze kupambana na USA?acha utani wewe!!sie tuwaze tunaweza kupambana na Misri?Ethiopia?sudan,?siku vita kuhusu maji ya Victoria na mto Nile ikizuka!Iwapo tukakorofishana na Mmarekani leo hii ,japo sio kipaumbele chetu je JWTZ ina mkakati wowote juu ya hii military base ya MANDA BAY iliyopo LAMU?
Vita ya UKRAINE Lazima itufukirishe.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!