johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.
Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili
Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili
Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi