Jeshi siyo chama cha Siasa hadi utamani cheo cha Bosi wako mkuu. Hata kwenye Siasa tuliyaona yaliyomkuta Zitto alipotamani cheo cha Mwenyekiti

Jeshi siyo chama cha Siasa hadi utamani cheo cha Bosi wako mkuu. Hata kwenye Siasa tuliyaona yaliyomkuta Zitto alipotamani cheo cha Mwenyekiti

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.

Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.

Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili

Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.

Maendeleo hayana vyama!

Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
 
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.

Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako...
I wish I could be IGP, alisemaga
 
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.

Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako...
Hao wote chawa wa CCM wacha wauane kabisa kwa usnitch
 
Mimi nachokiona ni kwamba ndani ya jeshi lenyewe kuna jambo linafukuta. Ni kweli huwezi kuomba cheo cha boss wako kirejareja. Unajua watu wakianza kukukalia vikao ni vizuri ukaaga na kuondoka.
Jeshini hakuna kukaliana vikao bwashee!
 
Kumbe hata yeye Dodoma hapazimii? Ila lile jumba la Spika wa bunge ndio lilimfanya aione Dodoma kama Brisbane.😄😄
Ndugai ni mwana Salasala.

2025 atagombea ubunge wa Kawe ndio maana askofu Gwajima analeta bifu.
 
Ndugai ni mwana Salasala.

2025 atagombea ubunge wa Kawe ndio maana askofu Gwajima analeta bifu.
Walivyoshiriki kukata majina ya kina Chenge na Adadi Rajabu na yeye atashughulikiwa hivyohivyo.

Malipo ni hapahapa duniani, Mungu ataki madeni hadi mbinguni, ya duniani tunamalizana hukuhuku.

Kumbuka Ndugai alikuwa ni mjumbe wa kamati kuu CC kwa sababu alikuwa spika, sasa hawezi kuingia kamati kuu anaingia Tulia Ackson, raha ya nyimbo tamu ni kuimba kwa kupokezana.😄😄
 
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.

Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.

Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili

Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.

Maendeleo hayana vyama!
Ila kumkosoa amiri jeshi mkuu inaruhusiwa, siyo?
 
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.

Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.

Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili

Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.

Maendeleo hayana vyama!
Mwenyekiti tayari ana kiti chake cha kudumu. Alisema 2023 atastaafu siasa, lkn dalili hazionekani

images (27).jpeg
 
Ila kumkosoa amiri jeshi mkuu inaruhusiwa, siyo?
Ni heri kumkosoa amiri jeshi mkuu kuliko kumkosoa mwenyekiti wa chama.

Zito, Chacha Wangwe na wengine yaliwakuta makubwa huko kwa mwenyekiti baada ya kujaribu kutaka kurudisha demokrasia ya kweli ndani ya chama.
 
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.

Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.

Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili

Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.

Maendeleo hayana vyama!
Ccm ndio wamefikisha majeshi yetu huku....
 
Walivyoshiriki kukata majina ya kina Chenge na Adadi Rajabu na yeye atashughulikiwa hivyohivyo.

Malipo ni hapahapa duniani, Mungu ataki madeni hadi mbinguni, ya duniani tunamalizana hukuhuku.

Kumbuka Ndugai alikuwa ni mjumbe wa kamati kuu CC kwa sababu alikuwa spika, sasa hawezi kuingia kamati kuu anaingia Tulia Ackson, raha ya nyimbo tamu ni kuimba kwa kupokezana.😄😄
CCM majina anaandaa mwenyekiti kile kikao ni formality tu.

Mwenyekiti wa CCM ana nguvu kubwa sana by JK msibani Chato!
 
Back
Top Bottom