Alivyorud nyumban kwake alipokelewa na mkewe
Jibu swali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alivyorud nyumban kwake alipokelewa na mkewe
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.
Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili
Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
Hata huku kwenye chama chetu cha upingaji Sumaye alipotaka kugombea uenyekiti aliambiwa 'sumu haionjwi kwa ulimi', akaufyata!
Kama mtu amepikwa kimchongo na kupewa vyeo kimchongo usishangae kesho anakugeuka kukudhuru uliyemchongaUkiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Kamuulize mkewe
Upo sahihiHao wote chawa wa CCM wacha wauane kabisa kwa usnitch
Kwani hapo nimeuliza swali?Jibu swali
Kwani hapo nimeuliza swali?
Sawa MM1Ni heri kumkosoa amiri jeshi mkuu kuliko kumkosoa mwenyekiti wa chama.
Zito, Chacha Wangwe na wengine yaliwakuta makubwa huko kwa mwenyekiti baada ya kujaribu kutaka kurudisha demokrasia ya kweli ndani ya chama.