johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa....... Ngoja tuone!Maneno yamemponza ,amerudishwa makao makuu kubeba mafail
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa....... Ngoja tuone!Maneno yamemponza ,amerudishwa makao makuu kubeba mafail
Unaanzaje?Ila kumkosoa amiri jeshi mkuu inaruhusiwa, siyo?
Kamuulize mkeweHivi Ndugai yuko wapi?
wakati nipo secondary kuna deputy headmaster alimsnittc principal kwa mwenye shule akatuma malalamiko ya mapungufu ya principal kwa mmiliki wa shuleMimi nachokiona ni kwamba ndani ya jeshi lenyewe kuna jambo linafukuta. Ni kweli huwezi kuomba cheo cha boss wako kirejareja. Unajua watu wakianza kukukalia vikao ni vizuri ukaaga na kuondoka.
Kamuulize mkewe
Salasala!
Hujasikia kakosolewa na bwana ziro...Unaanzaje?
Tayari mambo yameshabadilikaTukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.
Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili
Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
Hata Ndugai alipotamani cheo cha bibi ushungi mpk leo hajulikani alipoTukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.
Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili
Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
Hatari snWalivyoshiriki kukata majina ya kina Chenge na Adadi Rajabu na yeye atashughulikiwa hivyohivyo.
Malipo ni hapahapa duniani, Mungu ataki madeni hadi mbinguni, ya duniani tunamalizana hukuhuku.
Kumbuka Ndugai alikuwa ni mjumbe wa kamati kuu CC kwa sababu alikuwa spika, sasa hawezi kuingia kamati kuu anaingia Tulia Ackson, raha ya nyimbo tamu ni kuimba kwa kupokezana.😄😄
Ndugai yupo nyumbani kwake Salasala.Hata Ndugai alipotamani cheo cha bibi ushungi mpk leo hajulikani alipo
Usingemjibu; ningemwambia aje amchukue kwangu ninaye mfukoni kwangu.Ndugai yupo nyumbani kwake Salasala.
Umeonana naye?Ndugai yupo nyumbani kwake Salasala.
Tulisali kwake Jumuiya siku ya Jumamosi!Umeonana naye?
Hao wote chawa wa CCM wacha wauane kabisa kwa usnitch
Tukiwa JKT kwa mujibu wa sheria tulifundishwa mambo mengi yakiwemo Uvumilivu, Nidhamu na Utii.
Ukiwa jeshini unatakiwa utumikie nafasi uliyopo kwa weledi na uzalendo uliotukuka na kuwatii Viongozi wako pamoja na kuwaheshimu walio chini yako.
Jeshini hutakiwi kutamani nafasi ya mtu bali juhudi zako zitaonekana na mamlaka kama kweli unastahili
Tusichanganye kabisa mambo ya Jeshi na Siasa.
Maendeleo hayana vyama!
Pia, soma=> RPC Kagera: Natamani kuwa IGP, aliyepo hajafanya makosa lakini mimi nitafanya mazuri zaidi
Ndio umuombe hadharani Amiri jeshi mkuu akuteue?Sikubaliani na hii hoja. Kutaka kuwa mkuu wa jeshi lolote ni kitu kizuri na kujiamini. Kila mwanajeshi au Polisi anatakiwa kutaka kuwa bora sasa hapo tatizo ni nini
Ndio umuombe hadharani Amiri jeshi mkuu akuteue?
Jeshi la wapi hilo?!!