Assad ndo aliwaleta hapo usijitoe ufahamSio kila ugomvi wa kuingilia upo mwingine wa kimkakati.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Assad ndo aliwaleta hapo usijitoe ufahamSio kila ugomvi wa kuingilia upo mwingine wa kimkakati.
mtu mweusi akikupenda anakuwa km mwehuHawategemeani ila marekani anamtegemea mrusi. Na mrusi ndio mtu wa kwanza kutoka nje ya Dunia na kwenda anga za nje ya dunia
shida sio mabeberu shida ni mitizamo yao ya kibinafsi , kila mmoja kutaka kujiona yupo juu ya mwenzieMiddle East ni uwanja fujo
Siku wakipata akili watawatimua mabeberu wote na wataishi kwa amani kabisa.