mamii90
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 380
- 266
wewe dada vitu vyako unauza ghali kuliko kawaida kwa kigezo unalipa kodi? kodi ipi
lakini pia juzi ulipost kwamba watu wajiandae kwa upotevu wa makontena kama walipitisha bila kulipia kumbe na wewe ni mmoja wa mapapa naam ni mmoja maana ushampost sana "yule jamaa anaesafirisha bidhaa kwa miujiza kufika kwako bila kodi" ukisifia sana kuhusu ubora wa huduma zake duh wewe kumbe haulipi kodi
lakini pia juzi ulipost kwamba watu wajiandae kwa upotevu wa makontena kama walipitisha bila kulipia kumbe na wewe ni mmoja wa mapapa naam ni mmoja maana ushampost sana "yule jamaa anaesafirisha bidhaa kwa miujiza kufika kwako bila kodi" ukisifia sana kuhusu ubora wa huduma zake duh wewe kumbe haulipi kodi