Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #41
Kabila ganHata mie nitamkabidhi Kila kitu mwanamke wangu
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabila ganHata mie nitamkabidhi Kila kitu mwanamke wangu
Ndo nani[emoji23][emoji23]Asante mkuu, tuletee na habari za masta Shibo,
Sasa Mkuu ntakuja PM maanaSure na hua vina k ndogo in addition kwaiyo mkuu ukikapata utaenjoy mim kalikua kabos kangu kwa construction company ila kalinielewa nkakala right now kalirud china
Kwamba wachina ni wataalamu kuifinyiaWanaume wa kichina wapo submissive sana kwa wanawake...
Si kitu ya kushangaza
Hakuna kitu kama hicho propaganda tu.Ohooo Kwa mchaga ukifanya hivo.... wakati ushajitafutia ticket ya kifo
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kasema vyoteHalafu sio kamkabidhi, ni kampeni asimamie mambo baadhi.
[emoji23][emoji23][emoji23] tafuta pesaNimejaribu kuangalia mali zangu nikiambiwa nimkabidhi mama G ,mpaka nimecheka.Mashati mengii na viatu vya mtumba[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niwah wapi mkuu [emoji23][emoji23]wahi kabla hajakuwah
Matusi haya[emoji23][emoji23]Kataa ndoa yuko huko anasonya, ila akiangalia anachomiliki ni mbupu tu[emoji1787]
Unanitisha mkuu[emoji23][emoji23]Tena fanya haraka angalau uokoe maisha yako.
Ukichelewa unakosa vyote. Manka yupo hatua za mwisho za kukuzimisha abaki na mali zako, hivyo kama bado utekelezaji wa mpango huu utakawia ni vema umshirikishe ili asitishe kwanza ku press button ya mwisho[emoji16]
acha chai, mzee hii habari huja isoma mwenyewe.
Wacha mchezo wa pesa, au Umesha lamba asali🤣😂
wnawake wa kichina wako.poa sana jamaa atakuwa salama salmini. usifanye hivyo kwa mbogo ulieoa Nzungu wala mwanamke yeyote wa kiafrika, itakuletea shida, hao watu hawaaminiki kabisa.Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.
Mwigizaji huyo mwenye utajiri unaokadiliwa kuwa zaidi ya dola milioni 260, kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni ameweka wazi kuwa uamuzi huo haukutokana na matatizo yake ya kiafya ambapo anasumbuliwa na ugonjwa wa hyperthyroidism na matatizo ya mgongo bali ni kwa sababu anaimani kubwa kwa mkewe.
"Upendo wake wa kwanza, anastahili zaidi. Kwa hakika, kwa miaka mingi, Nina amekuwa kitu kikubwa kuliko tu kuwa mpenzi wangu yeye ni mshauri, nguzo yangu ya nguvu. Alikuwa daima upande wangu, Li wakati nilipokuwa chini kabisa, alinisimamia. Anasimamia kila kitu ili niweze kuzingatia kazi yangu na afya yangu. Lolote lile, namwamini. Yeye ndiye sababu naweza kuwa ninavyokuwa leo," amesema Jet Li
Nina ambaye ni mke wa Li aliveshwa taji la Miss Asia mwaka 1986, wawili hao walikutana na kuanzisha uhusiano mwaka 1988, aidha moja ya sababu inayomvutia Li kutoka kwa mkewe ni kumtii kuacha shughuli zake za urembo na kujikita zaidi kulea familia.
Uaminifu huo wa Li kwa mkewe uliibua mijadara mbalimbali katika mtandao wa Twitter (X) mashabiki wakiwapongeza wawili hao kwa kuaminiani wakiandika "Hii si kuhusu pesa, somo la upendo ni kuhusu kuthamini mtu ambaye amekuwa upande wako kupitia kila kitu,".
Mkali huyo wa filamu za ngumi ambaye amewahi kuonekana kwenye Mulan, League of Gods, The Founding of a Republic, War na nyinginezo alifunga ndoa na Nina mwaka 1999 na wamebahatika kupata watoto wawili pamoja. Hata hivyo anadai kuwa hata akitaka kununua kitu chochote basi atamuomba mkewe pesa.
NB Wale team kataa ndoa...mpite hivi[emoji125][emoji125]View attachment 3220818
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sasa msemaji wa CHAMA na Rais wa Majobless Promax nani mwenye uwezo mkubwa wa kulamba asali 🤣Wacha mchezo wa pesa, au Umesha lamba asali🤣😂
Nyie hamuaminiki, usije kuwa ni zao la walamba asali😂🤣Sasa msemaji wa CHAMA na Rais wa Majobless Promax nani mwenye uwezo mkubwa wa kulamba asali 🤣
Mimi Nina uzito kiasi Gani wa kulamba asali kwenye chama 😂
Kwa hiyo Mh. Rais wa Majobless Promax humuamini msemaji wa CHAMA 😂Nyie hamuaminiki, usije kuwa ni zao la walamba asali😂🤣
Jamii ya wahindi
Wapare kwakuloga ndio kibokoHapana mkuu...wanawake wa kisukuma wapo loyal sana
.
sema uchawi tu ndo unawaharibia
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Jamaa anampenda huyu mwanamke kiasi kwamba alimpa taraka mkewe wa awali na kutelekeza watoto wao wawili wa kike baada ya kukutana huyu mrembo. mrembo akamwambia kama akiendelea kuwa na mapenzi naye yale yale kwa miaka kumi basi ndipo atamuoa.Mwigizaji Li Lianjie 'Jet Li' amewaacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kufunguka kuwa amemkabidhi mke wake Nina Li Chi utajiri na fedha zake zote.
Mwigizaji huyo mwenye utajiri unaokadiliwa kuwa zaidi ya dola milioni 260, kupitia mahojiano yake ya hivi karibuni ameweka wazi kuwa uamuzi huo haukutokana na matatizo yake ya kiafya ambapo anasumbuliwa na ugonjwa wa hyperthyroidism na matatizo ya mgongo bali ni kwa sababu anaimani kubwa kwa mkewe.
"Upendo wake wa kwanza, anastahili zaidi. Kwa hakika, kwa miaka mingi, Nina amekuwa kitu kikubwa kuliko tu kuwa mpenzi wangu yeye ni mshauri, nguzo yangu ya nguvu. Alikuwa daima upande wangu, Li wakati nilipokuwa chini kabisa, alinisimamia. Anasimamia kila kitu ili niweze kuzingatia kazi yangu na afya yangu. Lolote lile, namwamini. Yeye ndiye sababu naweza kuwa ninavyokuwa leo," amesema Jet Li
Nina ambaye ni mke wa Li aliveshwa taji la Miss Asia mwaka 1986, wawili hao walikutana na kuanzisha uhusiano mwaka 1988, aidha moja ya sababu inayomvutia Li kutoka kwa mkewe ni kumtii kuacha shughuli zake za urembo na kujikita zaidi kulea familia.
Uaminifu huo wa Li kwa mkewe uliibua mijadara mbalimbali katika mtandao wa Twitter (X) mashabiki wakiwapongeza wawili hao kwa kuaminiani wakiandika "Hii si kuhusu pesa, somo la upendo ni kuhusu kuthamini mtu ambaye amekuwa upande wako kupitia kila kitu,".
Mkali huyo wa filamu za ngumi ambaye amewahi kuonekana kwenye Mulan, League of Gods, The Founding of a Republic, War na nyinginezo alifunga ndoa na Nina mwaka 1999 na wamebahatika kupata watoto wawili pamoja. Hata hivyo anadai kuwa hata akitaka kununua kitu chochote basi atamuomba mkewe pesa.
NB Wale team kataa ndoa...mpite hivi[emoji125][emoji125]View attachment 3220818
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kabila ya kazi ganiHata Mimi nimejifunza kitu ...kautajiri kangu haka nataka nimkabdhi mchaga wangu
Na sitaki kushauriwa ......
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app