Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Wazungu na waafrika ndio wenye tamaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama dini inaruhusu oa na mrangi halafu pia umpe utajiri wakoHata Mimi nimejifunza kitu ...kautajiri kangu haka nataka nimkabdhi mchaga wangu
Na sitaki kushauriwa ......
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nina imani nae😂🤣Kwa hiyo Mh. Rais wa Majobless Promax humuamini msemaji wa CHAMA 😂
Amelogwa na k
Ilikuwa bonge la movieUnamtajaje jet li bila kutaja movie yake ya TAI CHI? we jamaa vp?
Kataa ndoa yuko huko anasonya, ila akiangalia anachomiliki ni mbupu tu🤣
Ili mradi watu wasiambulie chochote kituHamkosagi sababu🤣🤣
Pole sana mkuu!Bora mtu ukae tu na pumbu zako bila stress kuliko kupigwa na maisha halafu mtu anakuletea mafeelings hata ukinywa bia mbili unaambiwa umelewa
Pole sana mkuu!
🤣🤣🤣 We jamaa unachekesha sanaNimejaribu kuangalia mali zangu nikiambiwa nimkabidhi mama G ,mpaka nimecheka.Mashati mengii na viatu vya mtumba🤣🤣🤣
Hii aione mzabzab 😂Kataa ndoa yuko huko anasonya, ila akiangalia anachomiliki ni mbupu tu🤣
Wee mie nina zaidi ya mbupu....nina mili 243 beki zimekaaa tuuHii aione mzabzab 😂
Nakupigia mkuu🤣Wee mie nina zaidi ya mbupu....nina mili 243 beki zimekaaa tuu
Simu ziite fasta maana mie nimebakisha miaka 2 tuu ya kuishi na hizo lazima ziishe sitaki kiwaachia benkiNakupigia mkuu🤣