Jezi ipi kali kati ya Simba na Yanga?

Jezi ipi kali kati ya Simba na Yanga?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Jezi ipi kali kati ya Simba na ile ya Yanga kwa msimu huu 2021/22

CB11A7D3-F9F1-457B-87E2-D814063DD2E5.jpeg


8D753F64-856D-4858-82A7-1AC62CF036FF.jpeg


6C6992A8-07F6-49FE-833D-5BF841F72B4B.jpeg


0AB95BC8-E7EE-4219-8386-E195053D2945.jpeg


3F73E762-307D-4A0A-8572-A17D2F9AA058.jpeg


C7067FC9-1B85-418F-A32B-0159FCB3A770.jpeg

0DFEBFB5-EBF6-44AB-8271-F163CD3FE611.jpeg
 
Jezi la mikia ubunifu 0,jezi gani hilo,mo foundation,mo 29,mo chungwa,mo coconut,,vunja bei sinza,vunja bei mbeya,mpk soksi zina mo foundation,jezi ina full makolokolo,halafu mkiitwa makolokolo fc mnanuna!
Angalia jezi, matangazo sio sehemu ya ubunifu maana mdhamini anabadilika muda wowote. Jikite kwenye jezi
NB: Tusisahau mechi na wapopoo inachezwa tarehe 12 mwezi huu, na jezi hazitacheza
 
DJ waleteeee
Jezi la mikia ubunifu 0,jezi gani hilo,mo foundation,mo 29,mo chungwa,mo coconut,,vunja bei sinza,vunja bei mbeya,mpk soksi zina mo foundation,jezi ina full makolokolo,halafu mkiitwa makolokolo fc mnanuna! Shadeeya njoo uone jezi za mikia
 
Back
Top Bottom