kijana13
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 1,981
- 3,631
Vunja Bei amekosa Siri za ushindani Kuna mahali amekosea yeye mwenyewe asimlaumu mtu maana jukumu lote lilikuwa kwake ...aliwaaminisha watu yeye mtoto wa kariakoo anajua machocho yote ya kuprint jezi feki atadhibiti matokeo yake mzigo umeshajaa mtaani hata kabla hajaanza kuuza
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app