B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Poa
Bila Shaka wewe utakuwa ndo Mama J
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila Shaka wewe utakuwa ndo Mama J
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani Uto wakimwangalia na Model Hamisa Jezi zilivyomtoa ndiyo kabisa Povu linawatoka kama lote.Wanatamani kuzikosoa kuwa mbaya lakini wanashindwa wanabaki kuhoroja “jezi kuvuja”[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
huku moyoni unalia na utapeli wa vunja bei Pole ndugu maumivu yanaua.Jezi kali sana,haya huyo Designer wao Ngowi kala pesa bure akawajazia misukule na vibwengo,Vunjabei kaja kumkalisha kwa jezi kalii,rangi flan amaizing,Jezi ya dark blue unavaa popote.Kuna Team moja tu yenye mafanikio makubwa Africa Mashariki na kati nayo ni Simba SC, One Team,One Dream[emoji123]
kwaya ya mtakatifu parokia petro ikiwa katika pozi View attachment 1922094
huku moyoni unalia na utapeli wa vunja bei Pole ndugu maumivu yanaua.
View attachment 1922098
Tambala zinauzwa mitaani buku 6 na vunjabei halafu anawaletea leo eti mpya.Leo naona mmepagawa,mmeona rangi za kijanja za jezi kalii,siyo vile vibwengo vilivyojazana kwenye jezi utadhani chungwa lilioiva kwa kupepewa[emoji3][emoji3]
[emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1303]Jezi kali sana,haya huyo Designer wao Sheria Ngowi kala pesa bure akawajazia misukule na vibwengo,Vunjabei kaja kumkalisha kwa jezi kalii,rangi flan amaizing,Jezi ya dark blue unavaa popote.Kuna Team moja tu yenye mafanikio makubwa Africa Mashariki na kati nayo ni Simba SC, One Team,One Dream[emoji123]
Hii Jezi inanikumbusha series inaitwa "The walking dead" ya mazombieVibwengo f.cView attachment 1920145
Mimi huyo? God forbid..!utainunua jezi hasa ile Dark Blu
Tuone jezi zenu za.misukule kama zitawatoa this time[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]Tambala zinauzwa mitaani buku 6 na vunjabei halafu anawaletea leo eti mpya.
Mistari kama ya ikweta huoni aibu?[emoji23][emoji23]
Fred ukienda hata kwenye maduka yake, anauza vitu vya low quality sana. Ndio maana mtu unaejielewa unaependa vitu standards huwezi kununua chochote kwa Vunja Bei.
zitatutoa na zimeshauzwa almost zote?Tuone jezi zenu za.misukule kama zitawatoa this time[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Hiyo nyeupe ni kama tissue paper ya kufutia mdomo wakati wa kula. Au nasema uongo ndugu yangu???Nimeziona jezi za ugenini bado sijafanikiwa kupata ile ya nyumbani. Unazipa alama ngapi chini ya 10?
View attachment 1920109
View attachment 1920112
View attachment 1920117
View attachment 1920118
Mapato yote kachukua GSM anawasajilia rejectszitatutoa na zimeshauzwa almost zote?
Nyie mmeletewa matambala leo sijui mtauza lini bei yenyewe kama ya double kick 🙌🏾🙌🏾😀😀
Hii Jezi inanikumbusha series inaitwa "The walking dead" ya mazombie