Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tambala zinauzwa mitaani buku 6 na vunjabei halafu anawaletea leo eti mpya.
Mistari kama ya ikweta huoni aibu?[emoji23][emoji23]
Kweli jezi za Simba zimevuja
Mimi huyo? God forbid..! View attachment 1922107
Unateseka ukiwa wapikwaya ya mtakatifu parokia petro ikiwa katika pozi View attachment 1922094
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Jezi imetengenezwa apa kwa fundi michael kwanini isivuje!!
Ni kawaida sana hiyoWanajamvi nimeshtushwa sana kuuona uzi wa simba mitandaoni kabala ya tarehe husika ambayo ilikuwa ni tarehe4 na si leo tarehe3 huu mchezo mchafu unatuharibia soka letu.
Rejea tangazo la leo. Jezi zipo madukani, kununua ni ruksa! Habari ya kuvuja ilikuwa kabla mzigo haujafunguliwa madukani, baada ya kuanza kuuzwa madukani, suala la kuvuja linakuwa limekufa automatically! Kitavujaje kitu kinachouzwa dukani! Ishakuwa old story, kanunue kama ni mdau!Wanajamvi nimeshtushwa sana kuuona uzi wa simba mitandaoni kabala ya tarehe husika ambayo ilikuwa ni tarehe4 na si leo tarehe3 huu mchezo mchafu unatuharibia soka letu.
Huyu jamaa ndio maana hawezi fanya kazi na watu makini ni miyayusho sanaUkiona hivyo ujue Mkataba wa Fred ukiisha yeye ndio atakuwa anatengeneza jezi,anawaandaa kisaikolojia.
Dah mkuu wote hatuwezi kuwa wafanyabiasha wote hatuwezi kuwa matajiri jibu fact yake ni kweli anauza low quality ila anasoko lake alilolilenga mbona jibu jepesi tuBora yeye anayeuza hizo “ low quality” lakini ni Boss wa kampuni yake mwenyewe na wewe unaesubiri Salary Slip mwisho wa mwezi ndiyo uende kununua “vitu za standards” una nini cha maana kumzidi Fred[emoji3][emoji3][emoji3]
Huyu ni tajir lakini ni miyayusho sana sishangai kwa nini kashindwa Africa Lyon na singida UnitedMkuu nasubilia Rizoni Yako Kuhusu Huu Wa Simba. Hivi Mosport nayo ni kampuni Ya Utengenezaji Wa Jersey?
Dah mkuu wote hatuwezi kuwa wafanyabiasha wote hatuwezi kuwa matajiri jibu fact yake ni kweli anauza low quality ila anasoko lake alilolilenga mbona jibu jepesi tu
Naziona maduka ya manzese hapa watu wanasagula2Rejea tangazo la leo. Jezi zipo madukani, kununua ni ruksa! Habari ya kuvuja ilikuwa kabla mzigo haujafunguliwa madukani, baada ya kuanza kuuzwa madukani, suala la kuvuja linakuwa limekufa automatically! Kitavujaje kitu kinachouzwa dukani! Ishakuwa old story, kanunue kama ni mdau!