nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
hao utopolo walichofanya ni kudesign ujinga wao na ku print kuzua taharuki ila msomali wanakula sana hela zake kibwege..jersey challenge ilifanyika jezi zilitengenzwa nyingi sanaHuu mkali ikitokea ukawa huu poa tu uko.bomba saana kwa kiasi chake hautafanana na ile mikusanyiko ya wafu huko kuzimu utopoloni
Bora wewe umewashitukia mambwigaJezi karibia zote hapo mtengenezaji ni Uhlsport na wakati mkataba wa Simba na Uhlsport umeisha msimu uliopita hapo tayari nimegundua hili nalo ni tango pori
Ningeona nembo ya Vunja Bei hapo ningeamini kidogo labda
Sasa kama.imevuja mbona ina uhisport wakati mtengenezaji.wa sasa ni vunjabei..? Uko serious kweli..?zinaendelea kuvujaa jamaniii AMKENI AMKENI ZIMEVUJJAAA TENAAAAAAA
View attachment 1920267
Kwenye maandishi ndiko hela zinapatikanakwa hiyo wametuongezea maandishi mengine?? anyway wazindue nikachukue hiyo ya blue
Unajua ulichoandika lakini?Vunja bei alichukua contract ya kuwavalisha jezi simba. Yeye atakua kaingia mkataba na Uhl sports.
Hilo ndilo jibu la kumuumbua mkuu, na Mimi akili yngu ilikuwa hpo hpo Bora umeliona , hongera man!Sasa kama.imevuja mbona ina uhisport wakati mtengenezaji.wa sasa ni vunjabei..? Uko serious kweli..?
Kolo wanajitekenya wenyewe na kujichekesha wenyeweSasa kama.imevuja mbona ina uhisport wakati mtengenezaji.wa sasa ni vunjabei..? Uko serious kweli..?
Siyo zenyewe mkuu,vunjabei ndo kachukua tenda hapo chapa iliyopo ni ya aliyechukua tenda jezi ya zamaniKali tupu.zote kali Vunja bei ametisha.
Nawaunga mkono utoopolo na propaganda yao ,kuna ubaya kwani au ni edit niweke vunja beiSasa kama.imevuja mbona ina uhisport wakati mtengenezaji.wa sasa ni vunjabei..? Uko serious kweli..?
Mkuu umeaangalia video ? Mi picha nilidhani editing ila nilipoangalia video dah kwanini lakini wavujishe?Wewe waache tar 4 wataaibika,walishazoea kudanganywa,si uliona walikuwa wanamsubiri kwa hamu Luis siku ya Kilele cha Mwananchi,matokeo yake wakakutana na Kapumbu.