Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
Nimeziona jezi za ugenini bado sijafanikiwa kupata ile ya nyumbani. Unazipa alama ngapi chini ya 10?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usimnyime furaha mkuu bado siku chache watobolewe na wa nigeria halafu tarehe 25 wanachinjwa kabisa, muda wao wa kujidai huuWivu utakuuwa mkuu,
Una degree ya upumbavu na mihemuko ya mama J!Nyie makokolo mkiambiwa sisi tuna watu mnakataa,hii ndio taka taka yenu,jezi hazina hata mvuto,kolo.mnatia huruma hizi ndio jezi za kuzishindanisha na za Yanga
View attachment 1920130
View attachment 1920131
Jezi hamna pale,kolo watajilazimisha tu kununua huku moyoni wakijua wamepigwaBado sana hawa vilaza kwenye kazi hizi za viwalo[emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Hizi usikute ka dizaini chakula ya bosi Hamisa mobeto[emoji1787][emoji1787]
Kama jezi za volleyball!!! [emoji16]
Vunja price ndio kishamaliza mchezo hapoAisee fredy vunjabei ndiyo emeshamaliza au hii ndiyob1st draft???
Mauzo ya hii mitambala haitafikia hata mauzo ya jezi za mazoezi za Yanga..Jezi hamna pale,kolo watajilazimisha tu kununua huku moyoni wakijua wamepigwa
😁😁😁😁😁 wanatiaga huruma sanausimnyime furaha mkuu bado siku chache watobolewe na wa nigeria halafu tarehe 25 wanachinjwa kabisa, muda wao wa kujidai huu
Tulia mtani,mabingwa wa hii nchi huwa atubahatishi,jezi za bingwa wa hii nchi zitapatikana kwa wakati nchi nzima.Vunja price ndio kishamaliza mchezo hapo
BuhahahahahahaAisee fredy vunjabei ndiyo emeshamaliza au hii ndiyob1st draft???