Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Nazungumzia ile jezi ya 3 ambayo kwenye tangazo imevaliwa na mdada inaonekana kama blue au dark blue lakini ukienda dukani ni nyeusi. Nimehisi zimetoka rangi mbili tofauti pengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nangojea Vitenge vyenuJezi au khanga hzo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196]
Reflector🤣🤣🤣Hii nyeusi/blue ingekuwa nzuri zaidi Kama wasingeweka huo mkanda wa reflector huko chini.
Ukivaa unakuwa Kama madereva wa malori ya Raphael na zile jezi zao zenye mkanda wa reflector kwa chini .
Alafu imekaa ki-feminism,no wonder kwenye promo ya ile video aliyevaa ni pisi kali. Sitarajii wanaume wengi kuvaa hiyo jezi.
No hard feeling.Reflector🤣🤣🤣
AahaaaaNangojea Vitenge vyenu
Kukosoa ni kazi nyepesi sanaHii nyeusi/blue ingekuwa nzuri zaidi Kama wasingeweka huo mkanda wa reflector huko chini.
Ukivaa unakuwa Kama madereva wa malori ya Raphael na zile jezi zao zenye mkanda wa reflector kwa chini .
Alafu imekaa ki-feminism,no wonder kwenye promo ya ile video aliyevaa ni pisi kali. Sitarajii wanaume wengi kuvaa hiyo jezi.