Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunasubir foronya zenuJezi zina shanga kiunoni,
Hii mitambara hunivalishi hata uniwekee bastola kichwani, Bora uniue
Unavishwa kwenda wapi?Jezi zina shanga kiunoni,
Hii mitambara hunivalishi hata uniwekee bastola kichwani, Bora uniue
Jezi nyeusi hio, huyo mdada wa juu inaonekana blue sababu picha imeeditiwa sana ikapoteza uhalisia wa rangi zakeNazungumzia ile jezi ya 3 ambayo kwenye tangazo imevaliwa na mdada inaonekana kama blue au dark blue lakini ukienda dukani ni nyeusi. Nimehisi zimetoka rangi mbili tofauti pengine.View attachment 2680204View attachment 2680205View attachment 2680206View attachment 2680207View attachment 2680208View attachment 2680209
jezi za hovyo aisee, hasa huo urembo wa chiniNazungumzia ile jezi ya 3 ambayo kwenye tangazo imevaliwa na mdada inaonekana kama blue au dark blue lakini ukienda dukani ni nyeusi. Nimehisi zimetoka rangi mbili tofauti pengine.View attachment 2680204View attachment 2680205View attachment 2680206View attachment 2680207View attachment 2680208View attachment 2680209
Unataka matusi kumbeJezi nyeusi hio, huyo mdada wa juu inaonekana blue sababu picha imeeditiwa sana ikapoteza uhalisia wa rangi zake
Dah wee rafiki pilipili zipo bustanini wewe huku zinakuwasha !!Japo hasinihusu ila hizo reflector zimenisikitisha sana
Hahaaaaa, wacha majungu bro.Hii nyeusi/blue ingekuwa nzuri zaidi Kama wasingeweka huo mkanda wa reflector huko chini.
Ukivaa unakuwa Kama madereva wa malori ya Raphael na zile jezi zao zenye mkanda wa reflector kwa chini .
Alafu imekaa ki-feminism,no wonder kwenye promo ya ile video aliyevaa ni pisi kali. Sitarajii wanaume wengi kuvaa hiyo jezi.
Watu na Yanga yao 😀😂😀Nishanunua yangu🤣View attachment 2680428
Hadi we una malalamiko, kweli mbunifu kazingua. Ila hata za msimu uliopita tuliwaambia jezi zenu zina mambo mengi, jezi huwa ni simple tu. Sasa mbunifu kayaondoa makorokoro yote vifuani na migongoni kayaweka yote chini ya jezi 😀😀😀Aliyebuni kazidisha makeke, urembo wa chini haukuwa na maana yeyote kuuweka. Jezi nzuri, sema zimezidishwa mbwembwe.
Zinanunuliwa kama njugu, leo zimevaliwa sana 🖤💚💛
#Sisi ndiyo mabingwa wenu....
#Since 1935...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kama waimba ngonjera. Sizivai hizo, nitavaa ya kijani na njano tu. Ila madunduka mmepata pa kuchekea waone 😄😄😄😄😄Hadi we una malalamiko, kweli mbunifu kazingua. Ila hata za msimu uliopita tuliwaambia jezi zenu zina mambo mengi, jezi huwa ni simple tu. Sasa mbunifu kayaondoa makorokoro yote vifuani na migongoni kayaweka yote chini ya jezi 😀😀😀
Thugs that make u'll loseGang of thugs
Msimu ulioisha ulisifia?Jezi nzuri ya Uto ni ya msimu ulioisha. Hapa hakuna kitu