Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alikufanyia nini Mkuu?
2025 tunaenda na wakili Mwabukusi[emoji23]
Libaya sana aisee

Nafiki sana

Linaona ni heri liumize wananchi kuitetea CCM

Bure kabisa

Mwabukusi ashinde au yeyote ila si hii shingo ndefu kama Rango!
 
Tulia ni spika kijana hupaswi kumchukia bila sababu. Yule ni damu changa kwenye uongozi
 
Hao Ma Don wanaweza kuleta mzigo wenye chata ya Sandaland bila kukubaliana na Sandaland mwenyewe?

Nachoona hapa huu mzigo umepitia hatua zote za TRA mpaka na kodi umelipiwa, shida tu haujaletwa na Sandaland mwenye dhamana ya kuuleta.

Nini kitafanyika, kama mzigo unao ubora basi mwenye mzigo atalazimika kukaa chini na Sandaland amgaie percent kadhaa aruhusu mzigo uuzwe. Hapo ni ki uungwana zaidi. Ila kibabe zaidi ni kibiriti tu.

Ila Cha pili Cha kujiuliza, ukichapisha fulana yoyote yenye kufanana na ya Simba unakua umetenda jinai? Simba wamesajili kwenye hatimiliki ule muonekano wa fulana zao?
 
Upole na ukimya wangu sometimes unaniponza! Isingekuwa sheria na kanuni za JF ningemuanika mpaka .... Na mpaka.. Watu wamjue vema wasibabaishwe tena naye

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli umekasirika.
Ni mara yangu ya kwanza kukuona Mshana umekasirika.

Hebu endelea kutiririka tujue mbivu na mbichi😂😂😂
Anatusumbua sana huyu Mama.
 
Alichoandika ni kiswanglish ambacho huwa nakichukia mno. Naonaga Slay Queens tu ndo wenye uhalali wa kuongea kiswanglish.
hujui kingereza,thats on you

kiswahili pia hujui

i wonder hata kilugha cha unapotoka hujui

who the fvck are you?

najua kingereza najua Kiswahili najua kichagga fluently,wivu umekushika,thats on you!
 
Njiti ana maringo ya kishamba sana
 
Huyo haelewi anachokiongea, anajifanya mjuwaji kumbe hana anachokijuwa. Ni poyoyo mmoja mwongo wa kutupwa.

Halafu hana haya, kila anapoleta ujinga nikimbamba anaanza kutukana huyo, povu debe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…