Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Kwahiyo mkuu,upo hapa kusapoti wezi wa brand and likeness of other people kujipatia fedha kinyume cha utaratibu?

Simba hauzi merchandize tu inauza likeness,brand and lifestyle huyo mshenzi wa Kariakoo anatumiaje these Simba's intangible assets fraudulently kujipatia kipato?

Mahakamani anashindwa na atalipa fidia kubwa

Tukienda kwa akili yako nchi hii itakua jungle anything goes,biashara na ubunifu utakufa

Yanini ubuni kitu,spend alot of your time all these years kujenga reputation,likeness,lifestyle,etc halafu mshenzi mmoja achukue all your artistic assets akajenge nguo auze free?

Hatutakua na nchi
 
D
So unakunywa chai salamander na wewe[emoji28]
Ah nimepata habari kuna Salamander mpya imefunguliwa hapo mtaa wa Chaga Dar.

Binafsi sijaiona lakini mtaa naujuwa vizuri sana na walioifunguwa nawajuwa vizuri sana kama wale wa Salamander ya zamani. Hawahusiani lakini wanajuwana.

Kweli usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Mzigo ni wa jamaa enu wa ccm kuna kipindi alifinywa na tra sababu ya janja janja
Aliramba dili nono kutoka klabu doto hapi kariakoo akalifanya kiunazi kwa vile ni shabiki mkubwa wa timu kurwa na aliemtoa kimaisha ni mnazi wa timu kurwa
Tafuta jezi zote feki za doto utakuka chapa yake acheni kumchafua pekee
 
Sikuelewi ulichoandika.
 
Kwanini juzi tumekutana pale Kigogo Sambusa kwenye kitimoto ukawa unajiita MAMA PRISCA? Huoni kwamba uongo ni dhambi? Halafu ulivyosema ufungiwe kilo moja ulikuwa unampelekea nani?
 
Hili bandiko langu umelisoma na kulielewa kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaniii mbonaa mabwakuuu haya sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umejibu vizuri kabisaaa.
 
Hakuna mchezo uliochezwa ,kariakoo yote imejaa bidhaa za kichina tena malonya lonya tu ,Unavaa siku moja ukifua imechanika

Kuagiza copy kariakoo ndio taratibu zao

Kuna brand za GUcci feki,Brand za reebook face mpaka addidas fake
Had NIKE jamani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kariakoo ni kibokooo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…