Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Jezi zilizokamatwa sio feki ni michezo ya Kariakoo, Sandaland kazidiwa maarifa

Huwezi kumfananisha mrangi na FaizaFoxy. Mrangi ni wakuja aliewahi kufika mjini na kuishi maeneo ya Magomeni na Kinondoni possible ni fundi garage anayejua stori za wezi,vibaka, wauza unga wafanyabiashara na watu wa hiyo mitaa. Bi Faizafoxy ni mzawa wa mjini, City center mwenye elimu na anayejua vyema Dar Kwa mapana na historia yake. Wengine humu wanapapasa papasa na nyie wa mikoani mnawaona wajuaji ila wa mjini tunaona gape kubwa sana la ufahamu wao.
Hahahahaha
 
Sasa unataka nisiilewe michezo ya kwetu, home ground?

Hapo hata kama sipo, simu moja tu, kila kitu kipo wazi.

Mtu kama hawajuwi watoto na wajukuu zake huyo anatakiwa awe mochwari kama mleta mada.
Kariakoo gani unaijua wewe,?leo kariakoo inamilikiwa na wageni

Mmeuza viwanja kwa wakinga,wasomali na wahindi sasa mnalia lia huko mashambani

Wazaramo na nyumba zao za udongo zilishaisha kariakoo

Utampigia simu mkinga au muhindi?Unafikiri wakinga na wahindi ni wambea
 
Hakuna.

Game la hapo hapo Kariakoo Hilo, tuulizeni tuwajulishe.

Maana hata tukiyaweka wazi hakuna wa kuwafanya kitu waliocheza hiyo game.
Hakuna mchezo uliochezwa ,kariakoo yote imejaa bidhaa za kichina tena malonya lonya tu ,Unavaa siku moja ukifua imechanika

Kuagiza copy kariakoo ndio taratibu zao

Kuna brand za GUcci feki,Brand za reebook face mpaka addidas fake
 
Faiza kazaliwa Dar, Mrangi anaijua Dar. Mrangi hana ngonjera akitaka kusema kitu ni comment moja anaweka code amemaliza.

Hamna mtu anazijua misheni za Dar kumzidi Mrangi humu JF. Faiza anajua historia ya Dar sababu ni umri mkubwa kumzidi Mrangi, ni kundi lilelile la kina Kiranga na mzee Mohamed. Kina Faiza wanajua historia ya kisiasa na watu maarufu, kina Mrangi wanajua harakati chafu za mjini.
Kuzaliwa Dar na kujua misheni zake ni vitu viwili tofauti kabisa, ndio maana mmeulizwa nani mzaliwa wa Kariakoo ni billionaire wa biashara hapohapo Kariakoo.
Kuzaliwa Dar na kujua misheni zake ni vitu viwili tofauti kabisa, ndio maana mmeulizwa nani mzaliwa wa Kariakoo ni billionaire wa biashara hapohapo Kariakoo.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mchezo uliochezwa ,kariakoo yote imejaa bidhaa za kichina tena malonya lonya tu ,Unavaa siku moja ukifua imechanika

Kuagiza copy kariakoo ndio taratibu zao

Kuna brand za GUcci feki,Brand za reebook face mpaka addidas fake
Nimecheka kweli aliposema jezi nyingi zinatengenezwa/kushonwa hapa hapa Bongo lakini ameshindwa kuonesha walau kiwanda kimoja kinachofanya hiyo kazi [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa heshima yako, hizi game zinachezwa siku nyingi sana, kwanza sitaiongelea hii lakini ntawapa viashiria, hii ni ndogo sana.

Kwanza jezi nyingi sana sasa hivi zinatngenezwa hapahapa Tanzania. Zinazoletwa kutoka nje ni kidogo sana, ficha kombe mwanaharamu apite.

Kwanza hilo lieleweke.

Pia ieleweke; Jezi na aina nyingine ya t shirts hazitengenezwi kwa ajili ya soko la Tanzania tu, zinatengenezwa kwa soko la Afrika Mashariki na ya kati.

Mkishalielewa hilo, hapo nimemaliza nusu ya game iliyopo mezani. Mwenye kuifahamuKariakoo na Dar kwa ujumla atanielewa.

Nusu ya mwisho ya sentensi moja tu kuhusu hili game la hapa, ntawapa baadae.
Kwanza jezi nyingi sana sasa hivi zinatngenezwa hapahapa Tanzania. Zinazoletwa kutoka nje ni kidogo sana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uuuuwiii haya onesha/taja kiwanda kimoja tu kinachotengeneza hizo jezi...

Yaani kuwe na kiwanda cha jezi bongo tusikijue wengine wote ukijue wewe faizafix pekeyako?
Unadhani jezi ni sawa na sare za shule zinazoshonwa viwanda vya Manzese na Tandika na kubandikwa chata za TOMATO nk?
Kawaongopee wajukuu zako hapo kwako na sio huku kwa watu wanaojitambua na kuhoji vitu
Mwenyewe umejitutua kweli na kujifanya unajua kumbe huna ujuayo zaidi ya upuuzi na kuungaunga vistory vya kutunga na kuokoteza huku na kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza jezi nyingi sana sasa hivi zinatngenezwa hapahapa Tanzania. Zinazoletwa kutoka nje ni kidogo sana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uuuuwiii haya onesha/taja kiwanda kimoja tu kinachotengeneza hizo jezi...

Yaani kuwe na kiwanda cha jezi bongo tusikijue wengine wote ukijue wewe faizafix pekeyako?
Unadhani jezi ni sawa na sare za shule zinazoshonwa viwanda vya Manzese na Tandika na kubandikwa chata za TOMATO nk?
Kawaongopee wajukuu zako hapo kwako na sio huku kwa watu wanaojitambua na kuhoji vitu
Mwenyewe umejitutua kweli na kujifanya unajua kumbe huna ujuayo zaidi ya upuuzi na kuungaunga vistory vya kutunga na kuokoteza huku na kule

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo hakuna kiwanda kinachoweza tengeneza jezi kwa uwingi ule kirahisi.
 
Kwamba eti nyingi zinatengenezwa bongo chache zinaagizwa nje.. Faizafix nadhani anaumwa maruhani mabaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo viumbe waliozaliwa Dar wanajifanyaga kujua mambo mengi ila washamba kinoma. Wanachojua ni ngono, Simba, Yanga, dini na siasa hasa za CUF na CCM. Binafsi huwa nikitafuta madogo wa kazi nakosaga imani akiniambi ni mzaliwa na kakulia Dar.
 
Ndio mitumba mbeya ni rahisi kuliko Dar.Inauzwa pale Sido🤣🤣🤣🤣💺
Hapo tunapigwa changa la macho, ndiyo ile ficha kombe mwanaharamu apite. Zinazokwenda Zambia na kurudi ni asilimia ndogo sana.

Kuna umafia wa hali ya juu unafanyika kweye vitenge na mitumba, umeshastukiwa. Mada ya hapa siyo hiyo, hiyo imeingia by the way tu, tusiiharibu mada ya jezi.

Unajuwa kuwa Mtumba Mbeya ni rahisi kuliko Dar?
Ukubwa wa Bei ya belo DSM unawez kuwa unasababishwa na vitu vingi. Moja ni renting fee ya city center
 
Kwanza jezi nyingi sana sasa hivi zinatngenezwa hapahapa Tanzania. Zinazoletwa kutoka nje ni kidogo sana,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uuuuwiii haya onesha/taja kiwanda kimoja tu kinachotengeneza hizo jezi...

Yaani kuwe na kiwanda cha jezi bongo tusikijue wengine wote ukijue wewe faizafix pekeyako?
Unadhani jezi ni sawa na sare za shule zinazoshonwa viwanda vya Manzese na Tandika na kubandikwa chata za TOMATO nk?
Kawaongopee wajukuu zako hapo kwako na sio huku kwa watu wanaojitambua na kuhoji vitu
Mwenyewe umejitutua kweli na kujifanya unajua kumbe huna ujuayo zaidi ya upuuzi na kuungaunga vistory vya kutunga na kuokoteza huku na kule

Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaliza MB zako kuwajibu mtu asiye na maana,hebu achana nae kwani ukimuendekeza anatuharibia thread.
 
Kuzaliwa Dar na kujua misheni zake ni vitu viwili tofauti kabisa, ndio maana mmeulizwa nani mzaliwa wa Kariakoo ni billionaire wa biashara hapohapo Kariakoo.[emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo ulipoonsha upoyoyo wa hali ya juu kabisa.

Hakuna mzaliwa wa kariakooambae ni mwanjo mwanjo kujionesha kuwa "mimi billionaire", ukimuonawa hivyo ujuwe huyo wa kuja tu.

Wewe ukija tu Dar utaitangazia dunia kuwa leo nipo Dar, seuse ukipata pesa ya kuwa na duka Dar. Tofauti ndiyo hiyo.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
 
Hakuna mchezo uliochezwa ,kariakoo yote imejaa bidhaa za kichina tena malonya lonya tu ,Unavaa siku moja ukifua imechanika

Kuagiza copy kariakoo ndio taratibu zao

Kuna brand za GUcci feki,Brand za reebook face mpaka addidas fake
Kariakoo ione kama ilivyo tu, watu wa wa kariakoo wana viwanda siyo vya T shirts tu, mpaka vingine havasemeki. Na wenyewe kimya, kama siyo wao.

Nimekwambia hizo za kufyatuliwa China zipo, lakini wajanja washaondoka huko, wanajazana wakuja tu, wajanja wa Kariakoo wana viwanda vyao hapohapo Dar ambavyo huvifikirii wala kuviota na vipo kihalali kabisa.

Labda niwakumbushe kidogo, hivi hamjawahi kusikia sakata la Manji na nguo za jeshi? Mnafikiri lizitoka nje ya Tanzania zile?

Mtajaza wenyewe.
 
Wewe ukija tu Dar utaitangazia dunia kuwa leo nipo Dar
Hawa ndiyo wale wakati hana kitu anakuwa mpole akifanikiwa kupata kuliko wenzake anaanza kujiona yeye ana akili sana kuliko wenzake!

Wenzake wakimpita kidogo anaanza kujaa chuki, hasira,wivu, husuda, kijiba n.k mbona fulani amepata na siyo mimi! Huwa wanapenda mashindano ya kishamba sana! Hawajui maana ya wakati!
 
Sasa niwapasulie jipu.


Vyanzo vyangu vimenambia, hizo jezi ni za Sandaland wenyewe, hakuna mwengine. Wenyewe wamecheza game likabuma, baada ya kustukiwa sasa wanajiosha. Nalo pia kwa uelekewa wafanye nini.

Wamewatafutia watu ulaji wa kijinga, ilikuwa wakae chini na Simba, waziingize kwenye hesabu yaishe, wakaona hiyo ni hasara heri wajiripuwe wenyewe wagawane juu kwa juu.

Hapo hakuna kuzidiwa akili, wamejidai wajanja wao kuwazidi akili watoto wa mjini. Wamestukiwa sasa watoto haohao wa mjini ndiyo wanawasukia mambo.

Vijana wa Kariakoo wahuni sana, sassa wanawapiga kote kote. Wakigeuka hivi wanalo wakigeuka vile wanalo.
 
Hawa ndiyo wale wakati hana kitu anakuwa mpole akifanikiwa kupata kuliko wenzake anaanza kujiona yeye ana akili sana kuliko wenzake!

Wenzake wakimpita kidogo anaanza kujaa chuki, hasira,wivu, husuda, kijiba n.k mbona fulani amepata na siyo mimi! Huwa wanapenda mashindano ya kishamba sana! Hawajui maana ya wakati!
Exactly, tunasema wana roho za Kichawi.
 
Tatizo viumbe waliozaliwa Dar wanajifanyaga kujua mambo mengi ila washamba kinoma. Wanachojua ni ngono, Simba, Yanga, dini na siasa hasa za CUF na CCM. Binafsi huwa nikitafuta madogo wa kazi nakosaga imani akiniambi ni mzaliwa na kakulia Dar.
Ujuaji wa kishamba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo ndipo ulipoonsha upoyoyo wa hali ya juu kabisa.

Hakuna mzaliwa wa kariakooambae ni mwanjo mwanjo kujionesha kuwa "mimi billionaire", ukimuonawa hivyo ujuwe huyo wa kuja tu.

Wewe ukija tu Dar utaitangazia dunia kuwa leo nipo Dar, seuse ukipata pesa ya kuwa na duka Dar. Tofauti ndiyo hiyo.

Usilolijuwa ni usiku wa kiza.
Kafiee mbele umbwa koko wewe.. Huna unachojua kiazi mbatata wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa niwapasulie jipu.


Vyanzo vyangu vimenambia, hizo jezi ni za Sandaland wenyewe, hakuna mwengine. Wenyewe wamecheza game likabuma, baada ya kustukiwa sasa wanajiosha. Nalo pia kwa uelekewa wafanye nini.

Wamewatafutia watu ulaji wa kijinga, ilikuwa wakae chini na Simba, waziingize kwenye hesabu yaishe, wakaona hiyo ni hasara heri wajiripuwe wenyewe wagawane juu kwa juu.

Hapo hakuna kuzidiwa akili, wamejidai wajanja wao kuwazidi akili watoto wa mjini. Wamestukiwa sasa watoto haohao wa mjini ndiyo wanawasukia mambo.

Vijana wa Kariakoo wahuni sana, sassa wanawapiga kote kote. Wakigeuka hivi wanalo wakigeuka vile wanalo.
Weee nguruwee ni muongo mpaka unakera..taarifa gani umezipata kima wewe.. Unapayuka tu na kurukaruka tu kama kuku wa kideri


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom