Ile ya Whan Huwei au Ubungo - Yenu Bar?
whan huwei ndio naitaka na ile nyingine pia yenye sneili
Usijali, ntakuwekea na some snake pieces...unapenda cobra au ile nyingine?
iyo itakuwa Python a.k.a joka la kibisa. Malaria haikubaliki hommie....
Naamini hapa humaanishi chochote chenye madhara kwa kamati yangu!
haamfuati sheerya,hilo ndilo tatiiiizo!ukiwa sipila uuuusizame kweeenye mjaadala wa buunge!oongoooza buuunge kwa kufuaata sheerya na kaanuun za buuungeBig up JF Arusha wing...naona safari imeiva
Kama kuna nanihiino zozote zitaanza baada ya safari na baada ya maongezi na Mheshimiwa sana,na ni mpaka kipatikane kibali toka Mheshimiwa, kama ataruhusu wanaJF kuendeleza naniliu!...lol!Hahahaha...kamati yako naona unaifanyia ulinzi shirikishi.
Kwa wale wasionifahamu Arusha...........anadeni nyama mwenzenu maisha yamekaa kooni
Kama kuna nanihiino zozote zitaanza baada ya safari na baada ya maongezi na Mheshimiwa sana,na ni mpaka kipatikane kibali toka Mheshimiwa, kama ataruhusu wanaJF kuendeleza naniliu!...lol!
hahaha Nguli bana yaani hapo hata mchemsho wa mdudu unadunda!
Kwa wale wasionifahamu Arusha...........anadeni nyama mwenzenu maisha yamekaa kooni
Huo msuba unaoagiza maalumu kutoa Jamaica utakumaliza hommie....dah
weeeeeeeeee... itakua si name koling tena bali defacing offense, watakupa ban mkuuPreta watumie ile picha ya jana...wasianze kusema ni photoshop hawa!
mkuu umenifanya nionekane kichaa kwa kucheka
Kwa wale wasionifahamu Arusha...........anadeni nyama mwenzenu maisha yamekaa kooni
haamfuati sheerya,hilo ndilo tatiiiizo!ukiwa sipila uuuusizame kweeenye mjaadala wa buunge!oongoooza buuunge kwa kufuaata sheerya na kaanuun za buuunge
mkuu umenifanya nionekane kichaa kwa kucheka
dah