Jf-arusha wing...safari updates

Jf-arusha wing...safari updates

Big up JF Arusha wing...naona safari imeiva
 
Big up JF Arusha wing...naona safari imeiva
haamfuati sheerya,hilo ndilo tatiiiizo!ukiwa sipila uuuusizame kweeenye mjaadala wa buunge!oongoooza buuunge kwa kufuaata sheerya na kaanuun za buuunge
 
Hahahaha...kamati yako naona unaifanyia ulinzi shirikishi.
Kama kuna nanihiino zozote zitaanza baada ya safari na baada ya maongezi na Mheshimiwa sana,na ni mpaka kipatikane kibali toka Mheshimiwa, kama ataruhusu wanaJF kuendeleza naniliu!...lol!
 
40055_1489840169215_1330299168_31583866_5868178_n.jpg


Kwa wale wasionifahamu Arusha...........anadeni nyama mwenzenu maisha yamekaa kooni
 
Kama kuna nanihiino zozote zitaanza baada ya safari na baada ya maongezi na Mheshimiwa sana,na ni mpaka kipatikane kibali toka Mheshimiwa, kama ataruhusu wanaJF kuendeleza naniliu!...lol!

Sasa hapo ndipo unapokosea sasa, manake huyo mheshimiwa ndo baraa bin baraa. Atakunyakulia kamati nzima. Usije ukasema sikukuonya.
 
haamfuati sheerya,hilo ndilo tatiiiizo!ukiwa sipila uuuusizame kweeenye mjaadala wa buunge!oongoooza buuunge kwa kufuaata sheerya na kaanuun za buuunge

hahahahah
 
farmerstan.jpg


Bora huyu mwenzetu yeye hajakonda sana am sorry guys siendi tena of topic hii ya mwisho
 
Back
Top Bottom