To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
🤣🤣🤣Nilimwonea mpaka huruma😂hiyo kuombana elfu 3 nahisi ilikua ni trend tu, sababu wakati ule tusi lilikua ni kuambiwa umeomba elfu 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Nilimwonea mpaka huruma😂hiyo kuombana elfu 3 nahisi ilikua ni trend tu, sababu wakati ule tusi lilikua ni kuambiwa umeomba elfu 3
Hata mimi!😂 ila ile ya jana nahisi hukuiona watu tulivunjika mbavu nikikumbuka nacheka🤣🤣🤣Nilimwonea mpaka huruma
Ilikuwaje?Hata mimi!😂 ila ile ya jana nahisi hukuiona watu tulivunjikambavu nikikumbuka nacheka
Subiri aje nimwambie aandike kama alivyoandika jana cz uswahili mtupu sikumbuki vyote halafu uzi umefutwa😂😂Ilikuwaje?
🤣🤣🤣🤣Ngoja ajeSubiri aje nimwambie aandike kama alivyoandika jana cz uswahili mtupu sikumbuki vyote halafu uzi umefutwa😂😂
Kwani umeenda wapi kulichachuka nn😂wewe ashawahi kukuanzishia thread?
enzo akee ananichekeshaga mnakaa vizuri unashangaa anaanza kuchokoza mtu kama jana ule uzi wa vocha alijua kunivunja mbavu mkewe anamkoma😂🙌
Yes BL alisema ameongea na mods waufunge sababu haukua kwenye hali nzuri tenaKwani umeenda wapi kulichachuka nn
Maana Jana nimelala mapema
Ooh sawaYes BL alisema ameongea na mods waufunge sababu haukua kwenye hali nzuri tena
Hiyo mboga ipi ya majani? Inavutia sana☺️😍msogee wapenda Nazi wenzangu View attachment 3070857
FigiliHiyo mboga ipi ya majani? Inavutia sana☺️
Msosi unaonekana ni mtamu sanaa! Hapo mimi niwekee ugali na pilipili😋Figili
🙌ulivyosema hivi nikakumbuka lips zake☺️hata mpishi inaonekana atakuwa ni mtamu sana!
Nakupikia ugali 😃Msosi unaonekana ni mtamu sanaa! Hapo mimi niwekee ugali na pilipili😋
Salamalekohata mpishi inaonekana atakuwa ni mtamu sana!
Kwamba wewe ni domo zege au humuoni mwenyewe?🤔nipe namba zake damu inichangamke!
Mwaleko🤣🤣🤣mwaleko.. mambo mtoto..?
Yeah nipikie nguna! Wali sijui kwanini unanishinda kulaNakupikia ugali 😃