Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ili nife😂😂😂😂😂😂😂 Amekupa Password yake....?
Kichawi iko mbona hujui tuHuu uzi wazee kina Poor Brain wanasema kumebaki masalo.
Jitaje sasa, toa utambulisho na angalizo 😂Bora nijitaje mimi mwenyewe
Oyaaaa,,nyie wana si mnakumbka nilisema nmefatwa pm na kijana wa ndoto zangu,ndio huyu sasa,siskii wala siambiwi,ole wenu 😌😌Jitaje sasa, toa utambulisho na angalizo 😂
Mbona kibabe sana utaachika?😂Oyaaaa,,nyie wana si mnakumbka nilisema nmefatwa pm na kijana wa ndoto zangu,ndio huyu sasa,siskii wala siambiwi,ole wenu 😌😌
io ni wale wa kujichekesha waogope aaaalaaahMbona kibabe sana utaachika?😂
Sawa umeamkaje msabato wagu?io ni wale wa kujichekesha waogope aaaalaaah
umeanza vzur ila umekuja kuharibu kwenye msabato hapoSawa umeamkaje msabato wagu?
Na sijali kuhusu hiloumeanza vzur ila umekuja kuharibu kwenye msabato hapo
Na ukiamua umeamua sioNa sijali kuhusu hilo
Si unanijua vizuriNa ukiamua umeamua sio
Kabisa ila nitakufundshaSi unanijua vizuri
Utanifundisha nini?Kabisa ila nitakufundsha
Tulia wewUtanifundisha nini?
ToooookaTulia wew
Sawa,,ila wewe tayar wangu ilo ndo muhimu 😌Toooooka
Mimi sio wa 2000Marahabaaa! Hujambo totoo?
Wako kivip?Sawa,,ila wewe tayar wangu ilo ndo muhimu 😌