TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Wataje hizo gharama , nitachangia..Ila nimedokezwa kwamba kuna kulipa ada kiasi hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataje hizo gharama , nitachangia..Ila nimedokezwa kwamba kuna kulipa ada kiasi hivi.
Huna sababu yoyote ya kutuiga sisi. Onyesha mfano ili nasi tujifunze toka kwako...hata nyinyi mnaosifia mnatoa sifa za jumla-jumla ktk masuala ambayo ni complicated.
Huna sababu yoyote ya kutuiga sisi. Onyesha mfano ili nasi tujifunze toka kwako.
Lakini usisahau kwamba, mjadala huu uliuanza wewe, kwa bandiko lako ambalo ni hisia tu ulizokuwa nazo.
Nimeona ameshuka kutoka kwenye Mercedes Benz made in Germany baba wa Capitalism.
Usiamini communist hata siku moja, Stalin na Mao waliuwa watu zaidi milioni 100 kueneza communism, Mwalimu Nyerere alikuwa anatibiwa London na siyo Soviet Union au China!
"Quality" nadra sana kuwa nazo viongozi wengi.
Kassim Majaliwa, anajitahidi sana katika mazingira magumu
Mkuu Chakaza, umetoa 'ushuhuda' kama wa 'walokole', ila wao huweka chumvi nyingi. Pongezi kwako na heshima mkuu.
Cheki wanavyojipendekeza wazee wetu wa sasa, je viongozi wa namna hii wanaweza kutoa ushauri unaopingana na mkuu wao kwa ajili ya kumsaidia nchi isiteketee kijamii, kisiasa, kiuchumi na kisera?
Flashback miaka 4!Mkuu operation zinduka ndio ilikuaje?
No, dola moja ilikuwa ni shilingi tano ndiyo asili ya sh tano kuitwa dala (dolar). Wakati huo nauli ilikuwa ni sh 5 ambayo ni dola moja! So nauli ni dola dola ( dala dala) hapo ndiyo asili ya jina dala dala! Kuhusu paundi ni kwamba paundi moja ilikuwa ni tsh 20 ndiyo maana sh. 20 ilikuwa inaitwa paundiBTW msingi wa kuitwa daladala ulikuwa hivi: Shillingi tano za Kitanzania zilikuwa sawa na dola moja ya marekani na pound sterling 1 wakati huo tulikuwa tunabadili kwa shillingi 7 (saba). Hivyo mabasi hayo kuitwa daladala.
Dr Rioba nazani atakua amesoma hapaNational Achives ya Video enzi hizo ilikuwa kwenye film rolls ikifanywa na Taasisi ya Vielelezo, Audio-Visual Institute pale ilipo TBC Kijitonyama.
By the time wanaziunganisha kuunda TVT, ile 1998, film rolls ilikuwa tayari fazed out. Hivyo zile digital zote tunazoziona za sherehe za uhuru, ni kwa hisani ya foreign achievers.
Shirika la Habari la China, Xinua linazo lots of our early events katika digital achievers zao na pia Cuba wanazo.
Issue ni TBC kuziomba tuu.
P
Ulipokosea ni kwamba hujaeleza msingi halisia japo ulikuwa unakuja kwenye ukweli.Sawa, leta ukweli wewe kwenye hilo? Kwa nini mabasi hayo yaliitwa daladala? Nipo 110% right.
Cheki wanavyojipendekeza wazee wetu wa sasa, je viongozi wa namna hii wanaweza kutoa ushauri unaopingana na mkuu wao kwa ajili ya kumsaidia nchi isiteketee kijamii, kisiasa, kiuchumi na kisera?
15 Nov 2019
MAJALIWA Atokwa MACHOZI MAGUFULI Alivyomwaga MAMILION
Pascal mayalla ur are very bright brother, huwa nasoma sana post zako JF ur are very geneous bro. u come with all facts no one can compete with you, one day natamani tuonane mkuu nijifunze upendo na busara zako mkuu..National Achives ya Video enzi hizo ilikuwa kwenye film rolls ikifanywa na Taasisi ya Vielelezo, Audio-Visual Institute pale ilipo TBC Kijitonyama.
By the time wanaziunganisha kuunda TVT, ile 1998, film rolls ilikuwa tayari fazed out. Hivyo zile digital zote tunazoziona za sherehe za uhuru, ni kwa hisani ya foreign achievers.
Shirika la Habari la China, Xinua linazo lots of our early events katika digital achievers zao na pia Cuba wanazo.
Issue ni TBC kuziomba tuu.
kwa WARAKA huu hapa Olle atakuwa hana cha kusemaUlipokosea ni kwamba hujaeleza msingi halisia japo ulikuwa unakuja kwenye ukweli.
Nakusaidia kuweka usahihi; nikwamba utingo/makonda walipokuwa wakiwaita abiria walikuwa wanatamka 'panda gari dola dola moja' matokeo yake neno doladola likaanza kupata hathari za kimatamshi nakuzaa daladala.
Sawa na neno 'chenji' unamwambia konda hapo zamani nirudishie 'chenji' yangu, lkn kwasasa utasikia vijana wa Daresalama wanasema 'chenchi' hizo ni athari za kimatamshi ambao hutokea pale wazungumzaji wa lugha mbili ama lugha mbili zinapo gongana katika matumizi ndani ya eneo moja.
Sawa na neno 'want' huko Marekani ya zamani wenyewe waliita 'NEW WORLD' mzungu wa Kiingereza akiwa katika shamba angeweza kumwagiza mwafrika asiyekuwa anajua Kimombo huko Marekani ya zamani mfano 'tell him that I want ten sacks' Mwafrika anarudia kama alivyoagizwa na mzungu lkn anajikuta anasema 'wan sakisi' muda ulivyokuwa unazidi pakazaliwa neno 'wanna'.
Kwa wajuvi wa lugha ya kikoloni wanahita 'Pidginization' ambayo huzaa pidgin ambayo wakizaliwa watoto nakuanza kutumia maneno 'daladala, chenchi,wanna etc' katika matumizi ya kawaida na wakidhani yako sahihi basi hii lugha huitwa Creole.
Mfano wa hizi Creoles ni Gurah huko Marekani ya kusini, Jamaican, Guiyana, Topksin huko Seoraleon n.k.
Neno Marekani lenyewe ni Creole kwani limetokana na athari za kimatamshi kutokana na ujina(nomino/noun) wa neno 'American' yaani Amerikani ... merikani..Marekani.
Mkuu Phillipo, na bila kuwepo mambo ya EPA CCM ingekuwa historia kama KANU au UNIP.Wakati wa kukomunika ukifika nilikuwa naona ufahari sana kusimama pembeni yake.
Angemfuatia Nyerere 1985 hii nchi isingeshuhudia mambo ya EPA escrow na upuuzi mwingine.