Basi kaka yaishe.Umealika akina nani sasa??
Mbona muandaji wa party mwenyewe mshamba hivyoo??
Aisee,
Huna sifa ya kuandaa party, huna hata kidogo.
Una hasira, unajiona, unajikwezaa.
Kwa hapo tu naona hiyo party itakua ya kishamba kama wewe.
Ukishaweka mada humu JF sio yako, ni ya wana jukwaa.
Umealika memba wote waliojisajili wachangiee.
Mshamba sana wewe dada.
[emoji109][emoji109][emoji109]Kula[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]
Usikose kabisaOk kinacho takiwa na cha msingi nisikose Tu
Naona mpira umerudisha kwa kipa.. Ngoja niwaze huku nikiwaacha mnafikiria zaidiBwana shushushu suggestion kwenye hilo tafadhali.
Hahaha!! Sawa tunaijenge tz ya viwanda kama mzee anavotakaEenh unamjua nje ya jf shem wangu hizi mada tutadiscuss vizuri sana kule nyumbani kwetu kwa marefu na mapana tatizo nawe umekuwa adimu sana
Unajua waswahili tukisema 4pm maana yake watu wakiwahi sana watakuja SAA 12Saa 10 jioni party ya ubatizo au?
Halafu si unajua daslam sijawahi kufika?Haina, nitasimamia mwenyewe uzur ni kule uhindini hamna janja janja[emoji13]
[emoji102]Njooon kwangu View attachment 866489
HahahahWit,
I was a marketing manager at Golden memory, Mwika social hall na hata Best Choice ya tabata.
Hakuna ishu ngumu kama kuandaa party, nimeanza kuandaa party, tour kuanzia sekondari hadi chuoni. Wanaoijua ID hii wakisoma hapa watathubitisha.
Unapo andaa ishu kwanza lazima usikilize, ukubali kutukanwa, kupingwaa nk
Kuna watu kwenye ishu km hizi huwa hawana uwezo wa kuja, na mara nyingi hukatisha wengine tamaa ilimradi ishu ifeli
As a leader unapaswa kuwajua hao watu na jinsi ya kuendana nao.
Kwa uzoefu wangu muandaji hana sifa ya kusimamia hata birthday.
[emoji106]Basi kaka yaishe.
Just[emoji706]Ushamba mzigo.
Ishu ni rangi tu kwa wadada ila cha kuvaa chochote kileApo sawaaaaaaaa.
Ningekomaa kama visingeruhusiwa.
Basi kaka yaishe.
Basi mkuu yameisha!...sio ishu kuubwa ya kutoana mood...cheer up[emoji481] [emoji481]Wit,
I was a marketing manager at Golden memory, Mwika social hall na hata Best Choice ya tabata.
Hakuna ishu ngumu kama kuandaa party, nimeanza kuandaa party, tour kuanzia sekondari hadi chuoni. Wanaoijua ID hii wakisoma hapa watathubitisha.
Unapo andaa ishu kwanza lazima usikilize, ukubali kutukanwa, kupingwaa nk
Kuna watu kwenye ishu km hizi huwa hawana uwezo wa kuja, na mara nyingi hukatisha wengine tamaa ilimradi ishu ifeli
As a leader unapaswa kuwajua hao watu na jinsi ya kuendana nao.
Kwa uzoefu wangu muandaji hana sifa ya kusimamia hata birthday.
Tulia weweTudiscuss hapa hamna bwana tutadisscuss kule sema dec nina safari ya msumbiji sijajua tarehe ya kuondoka
Hahahahah. Wasije wakatupiga na vyupa tuu.Yaap sisi tusio walevi lazima tukomae ikiwezekana ata na soda Bonge
Kwa heshima yako, naomba nijiweke pembeni kwenye huu uzi.Basi kaka yaishe.
Mwenyewe ntajificha hawakawii kuja kuniandikia Uzi na tumbo languKabisaa
Siku hyo sitakaa na shunie pamoja,mkwe usinijuee...tafadhali..cc wambekee!!siwatakiiii!!ntawakimbiaaa
Peace everywhere[emoji106]Basi mkuu yameisha!...sio ishu kuubwa ya kutoana mood...cheer up[emoji481] [emoji481]