JF-get together party Disemba 2018

Basi kaka yaishe.
 
Hahahah
Nimejua kwanini unatoa povu.
Ulitaka tuje Mwika.....hahahhaha
Sasa kwa taarifa yako, party zote humu Jf nimeandaa mimi.
Kuanzia ya 1 mpaka ya 3.
Hakuna kilichoharibika wala kupotea.

Tafuta lingine aisee.
Ila sasa, paka, zomea, tukana, laumu hadi ukitaka kunnya hapa jukwaani kunnya tu.
Ila ndio hivo.

Ukija kijeuri nami nakujibu kijeuri.
Ukija kichoko nami nakujibu kichoko.
 
Basi mkuu yameisha!...sio ishu kuubwa ya kutoana mood...cheer up[emoji481] [emoji481]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…