JF-get together party Disemba 2018

JF-get together party Disemba 2018

Kweli hapo nimekuwa mbinafsi, ila nimechukulia first plan Kigamboni, then Kinondoni naona kama ni Centre, hata Uber, Taxify, Bajaj zinapatikana kwa wasio na private.

All in all tuombe ifanikiwe, maana hakuna party isiyo na changamoto.

Kuna watu hatutakuja kwa sababu binafsi lakini tunasingizia dress codes, ukumbi nk
Umeona eeeh
 
Hahahahahaa. Umetoa wazo zuri. Nadhani wale tutakaoshiriki siku hiyo tutakubaliana kabisa tunakunywaje. Maana huwezi muweka Shunie anywe sawa na Mimi atanipunja

Muhimu ni kujua bei za vinywaji, chakula siyo shida najua kuna buffet na zinakuwa calculated kwa sahani.

Then kila mtu anapewa kuponi za kiasi kama 12,000/- au 18,000/- kutegemea na mahisabati, ukimaliza kuponi zako inabidi utoe mfukoni au uwe supported na mwenye coupon ambaye hajazimaliza.

Hii inaleta usawa, na ni kitu cha kujadili mapema.

Wet 'n Wild huwa wana utaratibu kama huo, tunaweza kupata jinsi ya kuuelewa huo utaratibu, ni very fair.
 
Kwenye malipo hapo naona kutakuwa na wepesi Wa nyie waandaji kumfahamu kila mtu
..
nitajihidi nihudhurie Ila sitapenda mtu yoyote anielewe ..my take Kama mnaweza kuboresha zaidi itapendeza

Baada ya malipo nikiscreeshort nitawatumia afu nyie mtanipa namba ya kuponi hivyo mtajua Kelvin Ana kupon namba ngapi hii itasababisha shushu Wa kujitegemea ninaswe kirahisii

Kama kutakuwa na njia mbadala naamini itakuwa njia nzuri kwa mashushu aina yangu

Wenu mtiifu marcus
Bwana shushushu suggestion kwenye hilo tafadhali.
 
Back
Top Bottom