General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,303
- 23,064
Ooh!!Potelea kushoto na hao waliokufata Pm.
Hapa hatuko harusini wala katika kitchen party wala sendoff kaka.
Utakuwa umeingilia mlango wa kutokea.
Msijitie kimbelembele kwenye nyuzi za zisizowahusu.
Kumbe uenyekiti...nilijua umepewa pesa.
Kojoa ukalale...huna jipya.
Ngoja tukeshe wote sasa,
Kwani kwenye hiyo party kuna nini kipya??
Unachekesha sana,
Wewe kwani hii party unalipwaa??
Mtu unaachiwa budget mbovu lkn unaitengeneza sherehe mpaka watu wanakubali.
Hivi unafikiri kukabidhiwa uenyekiti wa sherehe ya watu 800 ni mchezo??
Sasa we party ya watu 50 ndo unataka unichoshe hapa??
We dada kweli washakuaribu.