Mtambuzi wasio kunywa vikali inakuwaje?
Mihemko ndani ya mashine za kusaga nafakaWewe tenaa...lazima nikuandalie maunono ya nguvu! Karibu saaaaaana mke mwenza
Mkuu nasubiri maoni yako kuhusu ukumbi ................
Mihemko ndani ya mashine za kusaga nafaka
Mbona ujawataja wenzetu/ke au wao nimda wakuvunwa??wao hawavuni??
Mzee Mtambuzi, count me in... Ujue siku ile nilikuwa under supervision ya boss kubwa! Sasa safari hii lazima niombe kabisa ruksa mapema.
Ndo hapa naanza kutuma application ili nisipate sababu ya kuzuiliwa kuja iasee!! Ntakuwepo mpaka majogooooo!!!!!!!!!!!!!
Mkikubaliana issue ya michango, mtanijuza nifanye booking mapema fasitijet..........
labda kwa kupendekeza nipendekeze ukumbi wa Mwenge Social Hall, Escape 1, Lounge Hall,
au twende zoo kigamboni safari hii itakuwa ni zuri sana bestito mwaonaje hilo?
cc Jiwe Linaloishi, amu, madameB, Paloma, Mentor, Vin Diesel
hahaha wawindaji haramu utawajua tu...., kagasheki niko hapa hakatizi mtu na na kimwana, hao vimwana ni mali asili ya JF na wako kwenye eneo tengefu
Haya tena wadau wa JF.
Ndio tunaumaliza mwaka 2013 na tunaukaribisha mwaka 2014.
Kama mnakumbuka January 2013 tulifanya White Party pale Kebbys Hotel Mwenge ambapo ilifana sana.
Kwa mara nyingine tena tunaandaa Party nyingine ambayo itafanyika tarehe 25 January 2014 katika ukumbi utakaotangazwa kadiri muda unavyojongea kwa sababu bado tunao muda wa kutosha.
Kamati ya maandalizi inaundwa na wana JF wafuatao:
1. Paloma
2. Mtambuzi
3. gfsonwin
4. Madame B
5. Vin Diesel
6. jouneGwalu
7. Jiwe Linaloishi
8. cacico
9. lara 1
10 ladyfurahia
11. Kipaji Halisi
Siyo lazima kamati hii ikutane bali wajumbe wa kamati hii watakuwa wakiwasiliana kwa simu au kwa PM au hata kwa kuweka mapendekezo yao katika huu uzi kw aajili ya kufanikisha hafla hii muhimu kwetu.
Hapa chini nitaweka mchanganua wa bajeti inayohitajika ili kufanikisha hafla hii:
Cocktail Menu kwa makadirio ya watu 40 watakaohudhuria
Mahitaji
Idadi
Gharama
Jumla Ukumbi 1 0 0 Bites Kwa watu 40 @15,000/= 600,000/= Vinywaji Kwa watu 40 Beer 4 @3,000/= 480,000/= Mziki 1 @150,000/= 150,000/= Corkage kwa vinywaji vikali Chupa 5 @15,000/= 75,000/= Jumla 1,305,000/=
[TD="colspan: 2"][/TD]
Kwa hiyo kwa makadirio ya bajeti hiyo kila mdau anatakiwa kuchanga kiasi cha shilingi 35,000/=
Au
Dinner Menu kwa makadirio ya watu 40 watakaohudhuria
Mahitaji
Idadi
Gharama
Jumla Ukumbi 1 0 0 Dinner Kwa watu 40 @20,000/=
800,000/= Vinywaji Kwa watu 40 Beer 4 @3,000/= 480,000/= Mziki 1 @150,000/= 150,000/= Corkage kwa vinywaji vikali Chupa 5 @15,000/= 75,000/= Jumla 1,505,000/=
[TD="colspan: 2"][/TD]
Kwa hiyo kwa makadirio ya bajeti hiyo kila mdau anatakiwa kuchanga kiasi cha shilingi 40,000/=
*Mimi Mzee Mtambuzi nitajitolea chupa tano za vinywaji vikali ambvyo ndivyo vitakachochajiwa Corkage ili viingizwe ukumbini. Hapa nazungumzia vinywaji kama Contesa, Strawberry Lips, Govinder Kumar, Vodka, Jack Daniel, n.k.
Bajeti hii nimeikadiria kwa kuangalia gharama za hoteli zinazofanana na Hoteli ya Kebbys mahali tulipofanya White Party January 2013, kwa hiyo zinaweza kupungua au kupanda kulingana na idadi ya wadau watakaohudhuria au hoteli tutakayoichagua.
Naomba wanakamati washiriki kikamilifu kutoa maoni yao kwa sababu wao ndio wahusika wakuu wa hafla hii. Baadaye nitaweka uzi kueleza yale yaliyoafikiwa na wadau mbalimbali.
Naomba sasa niwakaribishe wadau mbalimbali watoe maoni yao ili twende sawa.
Karibuni sana
haya wakuu naomba maoni yenu kuhusu ukumbi, kwa upande wangu nafikiria kuhusu kumbi hizi:
1. San siro - sinza
2. Brajec -mikocheni au mlimani city savei
3. Kebby's hotel - bamaga mwenge
naomba mapendekezo ili tuendelee na kupanga bajeti niwaletee mchanganuo hapa kisha tuanze kukusanya michango fasta fasta
labda kwa kupendekeza nipendekeze ukumbi wa mwenge social hall, escape 1, lounge hall,
au twende zoo kigamboni safari hii itakuwa ni zuri sana bestito mwaonaje hilo?
Cc jiwe linaloishi, amu, madameb, paloma, mentor, vin diesel
Mkuu mimi sitakuwa kwenye nafasi nzuri ya kutoa maoni kutokana kwamba nilipitia na kusalimia kwa muda mfupi na kisha nikaondoka kwakuwa nilikuwa na majukumu mengine. Kwa mkutadha huu naomba waliokuwepo mwanzo mwisho watusaidie maoni yao tafadhali.Naomba kuwataja wafuatao ambao walihudhuria waje kutoa maoni yao kuhusu mapungufu ili tujipange vyema: KakaKiiza, gfsonwin, Madame B, Paloma, cacico, Asprin, Rutashobolwa, amu, Marejsho, charminglady, Jiwe Linaloishi, Vin Diesel, @figganigga, Amavubi, manoa, Jeska, Zion Daughter, Mulama, viviana, watu8, Tonykp, Remmy, Mamndenyi, lara 1, Kipaji Halisi, Boflo, Lusile, akenajo, Zinduna, Bujibuji, mwaJ, Bishanga, Thando, Elizabeth Dominic
Haya tena wadau wa JF.
Ndio tunaumaliza mwaka 2013 na tunaukaribisha mwaka 2014.
Kama mnakumbuka January 2013 tulifanya White Party pale Kebbys Hotel Mwenge ambapo ilifana sana.
Kwa mara nyingine tena tunaandaa Party nyingine ambayo itafanyika tarehe 25 January 2014 katika ukumbi utakaotangazwa kadiri muda unavyojongea kwa sababu bado tunao muda wa kutosha.
Kamati ya maandalizi inaundwa na wana JF wafuatao:
1. Paloma
2. Mtambuzi
3. gfsonwin
4. Madame B
5. Vin Diesel
6. jouneGwalu
7. Jiwe Linaloishi
8. cacico
9. lara 1
10 ladyfurahia
11. Kipaji Halisi
Siyo lazima kamati hii ikutane bali wajumbe wa kamati hii watakuwa wakiwasiliana kwa simu au kwa PM au hata kwa kuweka mapendekezo yao katika huu uzi kw aajili ya kufanikisha hafla hii muhimu kwetu.
Hapa chini nitaweka mchanganua wa bajeti inayohitajika ili kufanikisha hafla hii:
Cocktail Menu kwa makadirio ya watu 40 watakaohudhuria
Mahitaji
Idadi
Gharama
Jumla Ukumbi 1 0 0 Bites Kwa watu 40 @15,000/= 600,000/= Vinywaji Kwa watu 40 Beer 4 @3,000/= 480,000/= Mziki 1 @150,000/= 150,000/= Corkage kwa vinywaji vikali Chupa 5 @15,000/= 75,000/= Jumla 1,305,000/=
[TD="colspan: 2"][/TD]
Kwa hiyo kwa makadirio ya bajeti hiyo kila mdau anatakiwa kuchanga kiasi cha shilingi 35,000/=
Au
Dinner Menu kwa makadirio ya watu 40 watakaohudhuria
Mahitaji
Idadi
Gharama
Jumla Ukumbi 1 0 0 Dinner Kwa watu 40 @20,000/= 800,000/= Vinywaji Kwa watu 40 Beer 4 @3,000/= 480,000/= Mziki 1 @150,000/= 150,000/= Corkage kwa vinywaji vikali Chupa 5 @15,000/= 75,000/= Jumla 1,505,000/=
[TD="colspan: 2"][/TD]
Kwa hiyo kwa makadirio ya bajeti hiyo kila mdau anatakiwa kuchanga kiasi cha shilingi 40,000/=
*Mimi Mzee Mtambuzi nitajitolea chupa tano za vinywaji vikali ambvyo ndivyo vitakachochajiwa Corkage ili viingizwe ukumbini. Hapa nazungumzia vinywaji kama Contesa, Strawberry Lips, Govinder Kumar, Vodka, Jack Daniel, n.k.
Bajeti hii nimeikadiria kwa kuangalia gharama za hoteli zinazofanana na Hoteli ya Kebbys mahali tulipofanya White Party January 2013, kwa hiyo zinaweza kupungua au kupanda kulingana na idadi ya wadau watakaohudhuria au hoteli tutakayoichagua.
Naomba wanakamati washiriki kikamilifu kutoa maoni yao kwa sababu wao ndio wahusika wakuu wa hafla hii. Baadaye nitaweka uzi kueleza yale yaliyoafikiwa na wadau mbalimbali.
Naomba sasa niwakaribishe wadau mbalimbali watoe maoni yao ili twende sawa.
Karibuni sana
Nasi tumeanza maandalizi ya vikundi vya burudani kukupokea uwanja wa ndege.....