JF Hard Talk "FaizaFoxy"


Mambo ya nchi za watu maybe i am brainwashed media maybe kuna wakristo wanajilipua na kuua mamia ya watu wasio na hatia ila media zinaniaminisha kua ni waislamu boko haraka waliteka wasichana 300 na kuwaua wengine kuwasilimisha maybe ni wakrsito pia just media zinani brain wash achana na ya juzi kenya
Acha niongelee mambo ya hapa nchini ishu ya mbagala ubishani wa watoto wawili wadogo kuhusu msahafu kumgeuza mtu chura ukiukojolea baada ya yule mtoto kuukojolea watu wazima wakaamka na hasira kali kuanza kuchoma makanisa sidhan kama biblia ingekojolewa tungeinuka kuchoma misikiti kwa sababu sisi tunahubiri amani
Hilo pia hao watoto sikuwaona kwa macho labda media ziliwapaka paka
Niloliona kwa macho kibiti high school waislamu walichoma moto shule baada ya vijana wachache kwenda kutumia vyombo vyao vya kulia chakula kuwekea nyama wanadai ya nguruwe na ushahidi kukosekana wa kuwafukuza hao vijana shule
Waislamu wakaamua kuchoma moto shule?
Je ni sahihi kwa kosa la vijana wachache ambao ushahidi wake si rahisi kupatikana kuamua kuchoma shule??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unaushahidi gani kuwa walikuwa wanapunguziwa point?? na kama una ushahidi mliwahi kwenda mahakamani ??
 
Huyo anataka ajibiwe kama alivyoaminishwa,anaona anajibiwa tofauti ndio maana anaonekana kama vile hakubaliani na jibu alilopewa.
 
nafahamu maana ya madrasa ni kufundishwa elimu ya kislam sasa nyinyi mmeegemea huko, elimu ya shuleni mnaona ya kikafiri mkifeli mnamsingizia ndalichako,wanaopasua wanapasua wanaofeli wanafeli na mpaka leo huko wanapoendekeza madrasa tu kama pemba na unguja maziro yanazidi kuongezeka
 
Asante Madame

Namaanisha lile sakata LA kibiti na zile operations zilizofanywa kimya kimya hata wakakimbilia Msumbiji..

~ukipata nafasi ya kukutana na kumshauri CAG Asad...utampa mawaidha gani.!?

~je wale magaidi wa juzi Kenya,waliovamia na kuua watu kisha kuuwawa hotelini...(wanapewa bikira 72 huko peponi.??)

~na unaweza kutoa sehemu ya kipato chako kufadhili/kusaidia harakati za Alshaabab.??



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwetu Kisiju, wazee walikuwa na mashamba hapo jirani ya Kisiju, Shungubweni - Mkuranga, ndipo ninapoishi sasa, nimezaliwa na kusoma shule za awali Dar Es Salaam.
Je unafahamiana na Mzee Mohamed Said huyu wa humu JF, Ahsante
 
Naomba mwaliko wako hata siku moja ya mwezi mtukufu nije kufuturu maana imani zinafanana ndugu yangu #inshaalah panapo uzima
Kwetu Kisiju, wazee walikuwa na mashamba hapo jirani ya Kisiju, Shungubweni - Mkuranga, ndipo ninapoishi sasa, nimezaliwa na kusoma shule za awali Dar Es Salaam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo namba 3 umenichanganya.

Hebu explain nini hasa maana upinzani na nini kazi ya upinzani ktk nchi !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh Una akili sana .. wewe mama kusoma comments zako ni darasa tosha .. napenda jinsi ambavyo ulivyo na uwezo mkubwa sana wakujibu na kujenga HOJA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je Jamii Forum kwako unaweza kuifananisha na sehemu gani nyumbani kwako, Sebureni kwako, Jikoni kwako, Chumbani kwako, Kibarazani kwako, Jalalani/Dust Bin ama Msalani? Na kwanini ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…