zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Yeah positive always [emoji1360]Sitajutia kuijua JF tangu niijue nilifuta mitandao ya kijamii yote nikabaki na JF yani humu ndio ugonjwa wangu nimejifunza mambo mengi nimepata nondo nyingi sana hakuna kitu ambacho hakipo humu
Yote 9, 10 ni kuwa niliwahi comment jambo humu nikiwa natania, nilishushiwa mvua za comments za masimango zinazokarahaisha mpaka nikatamani kulia machozi..!
Cha kushangaza miongoni mwao walionisimanga nawakumbuka kama wawili ambao lazima nipatane na nondo zao kwenye baadhi ya thread, points zao zimesimama mpaka najikuta naishia ku admire na ku like tu..!
Life ain't fair walaqhi'...!π
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imenisaidia kumfahamu mshana jr na kiranga
Basi unapeeenda mwenyewe[emoji1787][emoji1787] CHAMA CHA WALI NDONDO..
Wanaume hawapiki? [emoji44]Khaaaa kumbe mkuu ni ME,siku zote najuaga KE vile unavyotupia mapishi mbalimbali
Tena men ndio wapishi wazuri kama hajui nikiwemo Mimi[emoji23]Wanaume hawapiki? [emoji44]
Amenishangaza kwa kweli.Tena men ndio wapishi wazuri kama hajui nikiwemo Mimi[emoji23]
Wanaume hawapiki? [emoji44]
HongeraTena men ndio wapishi wazuri kama hajui nikiwemo Mimi[emoji23]
Sasa kwanini ulishindwa kuniweka kwenye hao wachache hadi ukaniweka kundi la Ke jamaniWanapika , ila wachache ndio wanapika wengn wanachemsha unless iwe taaluma yake ya upishi
Sana tu..πBasi unapeeenda mwenyewe
Ukipata wawili, ebu nigaiye mmoja mwana...[emoji39][emoji39]Umenikumbusha kuna mrembo nilikua nachat nae pisi kali haswaa daah kumbe alikua mjamzito, natumaini sasa hivi mtoto ameshakua nanii popote ulipo nitafute mrembo tuyajenge,
[emoji847][emoji5]
Dah martinezstavo itakua huyu Dada ni popular humu JF[emoji23][emoji23]joanah najua ndo ugonjwa wako
Yote 9, 10 ni kuwa niliwahi comment jambo humu nikiwa natania, nilishushiwa mvua za comments za masimango zinazokarahaisha mpaka nikatamani kulia machozi..!
Cha kushangaza miongoni mwao walionisimanga nawakumbuka kama wawili ambao lazima nipatane na nondo zao kwenye baadhi ya thread, points zao zimesimama mpaka najikuta naishia ku admire na ku like tu..!
Life ain't fair walaqhi'...!π