JF imekusaidia nini tangu uijue?

JF imekusaidia nini tangu uijue?

Nimeongeza uelewa kwa sehemu kubwa Sana kuhusu maisha, Kuna wakati nilipitia magumu nashukuru sana yumo humu rafiki aliyesimama nami katika wakati huo, alinitia moyo aliomba na Mimi alinishauri na kujitoa kuhakikisha nakuwa sawa, siwezi kukusahau we kaka, jina lake la humu linaanzia na M na kuishia H
 
Yote 9, 10 ni kuwa niliwahi comment jambo humu nikiwa natania, nilishushiwa mvua za comments za masimango zinazokarahaisha mpaka nikatamani kulia machozi..!

Cha kushangaza miongoni mwao walionisimanga nawakumbuka kama wawili ambao lazima nipatane na nondo zao kwenye baadhi ya thread, points zao zimesimama mpaka najikuta naishia ku admire na ku like tu..!

Life ain't fair walaqhi'...!😀

Etiee
 
Imenisaidia kumfahamu mshana jr na kiranga
[emoji30][emoji30][emoji30][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bila shaka ni Mshana Jr na Mshana Jr 2
😜😜😜 mie JF ni shule pia nimepata marafiki wengi sana humu wengine tulisoma pamoja shule mbali mbali.

Kuna watu humu wana shule kubwa sana lakini humu huwezi kuwagundua hadi upate bahati ya kufahamiana nao kwa karibu.

Yote 9, 10 ni kuwa niliwahi comment jambo humu nikiwa natania, nilishushiwa mvua za comments za masimango zinazokarahaisha mpaka nikatamani kulia machozi..!

Cha kushangaza miongoni mwao walionisimanga nawakumbuka kama wawili ambao lazima nipatane na nondo zao kwenye baadhi ya thread, points zao zimesimama mpaka najikuta naishia ku admire na ku like tu..!

Life ain't fair walaqhi'...!😀
 
Back
Top Bottom