harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
[emoji1787]Freedom of speech in Africa
Ur right to say Magufuli is a Corrupt leader when he's not[emoji4][emoji23]
Yote yawezekana kuna namna mfumo wake wa kufikiri uko corrupted
Umemla nani niambiekula tunda kimasihara
Na kweli ila wazamiaji hawatakosekana tu, maana kwenye magroup ya akina mama na akina baba pia wamo so mambo yamebadilika sna mkuu
Nilifungua kampuni..ambayo inaendelea si haba pia
kuna jamaa anaitwa CONTROLA
Na nyuz zake za ujasiriamali...nilifanikiwa kufungua magoli ma5 ya biashara tofaut tofaut
Ninaendelea nayo kiukwel si haba...nauona mwanga..
Lengo ni kufikisha magoli 50 mpaka 2025
For this i thank jf na sana huyu mwamba CONTROLA anajua sana.
Hashimu Rungwe bwana...!IMENISAIDIA KUPATA KADI YA CHAUMMA,
CHAMA KINACHOENDA KUSHIKA DOLA MWAKA HUU MWEZI WA KUMI.
Umemla nani niambie
[emoji2][emoji2] nimeona wivuhii ni siri sasa siwezi muanika
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2] nimeona wivu
Imenisaidia kumjua yna2 [emoji4]Imenisaidia kupata maarifa na kufurahi pia.
Heh!sasa since July 26 nilipojoin JFWewe wanijua Mimi?
πππ Ila una ugomvi na wenye majina marefu weweHeh!sasa since July 26 nilipojoin JF
Alafu short names ladies huwa hamna shida kabisa[emoji23][emoji23]
Sio Kama wale kina Katherine[emoji4][emoji23]
Amna mi mwenyewe langu refu zagarinojo[emoji23][emoji23][emoji23] Ila una ugomvi na wenye majina marefu wewe
Tatzo la vijana ndo hili haya sawa mkuu.Hizi nyavu zitashika wengi...niamini mimi
[emoji2][emoji2] nimeona wivu
Teh...I wishinibid tufanye namna, mm ni wako tuu